zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,081
- 28,742
Mkuu mimi nina valid and reliable sources kabisa toka kwa viongozi wa dini waliomuombea dakika zake za mwisho..... JPM alifariki kwa CORONA and I'm very confident with this!! Hilo tatizo la moyo ni secondary tu ila iliyo trigger ni mfumo wa upumuaji.Kila sehemu hai iko kama ulivyoelezea mkuu, hofu ya corona hakuna. Magufuli alikuwa sahihi. Wangetufungia sasa hivi hali ingekuwa vipi?
Wenye akili mbovu wanazusha eti magufuli alikufa kwa corona, je kama ni coron ni zaidi mwezi tangu afariki je hiyo corona wanayoisema ikulu mbona haijamuua mwingine?
Tofauti na ikulu, sehemu nyingine hali ikoje?
Maana hata kama hawatangazi lakini watanzania hawawezi kukosa taarifa hasa za corona, je baada ya magufuli kufa corona imeisha tanzania?
Binafsi sina uakika kama ipo au haipo, lakini najiuliza vip mbona kimya? Inamaana corona inakuja na kuondoka kwa muda?
Akili za kuambiwa ..........
By the way mashine yake ilisha expire toka 2018 so kama kumuua ingefanya hivyo toka huo mwaka!!