Merycurious
Member
- Mar 2, 2017
- 5
- 0
Bambata,, kamataas
Vita ya madawa ya kulevya ipo pale pale, waambieni madoni wenu wa madawa waliowatuma kupunguza makali wamefeli, tutapigana vita to our last breath
Vita ya madawa ya kulevya ipo pale pale, waambieni madoni wenu wa madawa waliowatuma kupunguza makali wamefeli, tutapigana vita to our last breath
Kabwe, Ikamba, Peter katika mwamba huu kanisa litajengwa. Buriani KabweKabisa hakuna kitu kiliniuma kama yule kabwe jamani kha
Mkuu nawewe vyeti vinashida nini ..maana unatetea hatariKosa la jinai kesi yake namba ngapo mahakamani? Au ripoti ya polisi namba ngapi?
Taasisi ilikuwepo Lkn nadhani kwa kuwa wewe ni mfuatiliaji wa matukio ulimsikia mh RAIS Magufuli kuwa sheria mpya ya madawa ya kulevya ilipitishwa 2015 ambayo ndiyo inayoipa nguvu serikali kushughulikia kikamilifu wafanya biashara wa madawa.na nadhani ikiwa bado una kumbu kumbu ni kuwa tangu kamanda Nzowa amalize muda wake nchi imekuwa haina Kamishna wa madawa ya kulevya. Na nadhani wakati wa kamanda Nzowa magwiji wa wakubwa wa madawa ya kulevya walikamatwa ikiwemo Yule mama aliyekuwa anatafutwa mpaka Na wamarekani. Pia mtoto wa LIYUMBA pia alikamatwa Na Sheena kubwa ya madawa . Japo hatukatai watumiaji Na wauzaji pia wameongezeka Hili sio tu kwa Tanzania Bali ni kwa ulimwengu.Hiyo ni theory, andika practicality yake. Taasisi husika ilikuwepo miaka yote ya Kikwete, ilifanikiwa. Kama ulikuwa mfuatiliaji wa matukio, kumbuka Reginald Mengi alivyohangaishana na wakubwa wa taasisi hiyo. Mbinu ya kawaida haikufanyakazi miaka yote hadi watu wanakamatwa airport, usoni remorselessness. Hapo tunahitaji unorthodox method. Period!
Ukianza kuleta theories sijui za taasisi, sheria za nchi, sijui oohh Bashite! bla-bla kibao wakati unaona njia yake ndo imeliamsha taifa ktk hilo, then kuna tatizo kwako!
Hoja iliyoko hapa haina uhusiano na gwajima...Same to Gwajima, anatafuta cheap popularity, huwezi sema una ushahidi wa mtu ana cheti feki halafu haujakiweka hadharani wiki ya pili sasa, wala haujaenda kushitaki kwenye mamlaka husika ya necta ili wamchukulie hatua.
Cheap popularity ya kutafuta waumini wengi zaidi maana jana watu wengi walienda kanisani kwake wakisubiri ataongea kuhusu cheti feki ambacho hana ndio maana hawezi kukiweka hadharani, sadaka iliongezeka., umaarufu wa kanisa unaongezeka maana huwezi kumtaja gwajima bila kanisa lake, hata asiye lijua atalitafuta.
Yeye Gwajima aliwaji kujibu tuhuma zilizomkabili za kuvunja ndoa ya Mbasha kwa yeye kutembea na Flora?
Alifika na style ya misukule akaona haikumpa popularity, na hata hili la bashite sijui dadui halitampa popularity ya kuongeza waumini, atawapata wavivu wa kusoma Biblia ambayo imetoa angalizo ya siku za mwisbo manabii wa uongo wataongezeka, kazi kuchumia matumbo badala ya kufanya kazi ya Mungu.
Suala la bashite Gwajima analitumia kutafuta cheap popularity.
Na laana ya kumtukana Kardinali pengo inamuandama pia gwajima
Nadhani umemaanisha BashiteMakonda is a fraud
Vita ya madawa ya kulevya ipo pale pale, waambieni madoni wenu wa madawa waliowatuma kupunguza makali wamefeli, tutapigana vita to our last breath
and also a Culprit who needs no any level of excuseMakonda is a fraud
Vita ya madawa ya kulevya ipo pale pale, waambieni madoni wenu wa madawa waliowatuma kupunguza makali wamefeli, tutapigana vita to our last breath
Mmmmh! labda aliogopa asije atatumbuliwa kwenye mapokezi hayo maana mkuu wa kaya mwenyewe hatabiriki. Akubali tu hata wale waliotumbuliwa walikuwa na moyo unaoogopa na kuuma kama yeye!Alichelewa kanisani, akaomba awakilishwe kwenye mapokezi.
The Big Show umeipatia sauti ya Gwajima. Akipita hapa atakupenda bure ha ha ha.Sasa bashite analia nin?
Si aweke vyeti vyake mezani tuh tuone yaishe?
Teh teh teh
Zero yaani
Alizungusha yani..yule kiumbe...zero yani