Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ndugu wanaJF,
Sasa imedhihirika waziwazi kuwa adui namba moja anayeifilisi nchi hii ni ccm. Chama hiki ndiyo kimekuwa mwavuli wa kufunika uovu na waovu wote wanaoifilisi nchi yetu na kusababisha mateso makubwa kwa wananchi. Chama hiki ndicho kinacholea watu waina ya Rostam na kuwatetea kwa maneno ya kila aina ili waonekane mbele ya wapiga kura wao kuwa ni watu wazuri. Pamoja na jitihada hizo za kufunika uovu unaofanywa na wanachama wao ambao ni mafisadi papa, wananchi hatimaye tumeweza kubaini uovu huo na vinara wao.
Sasa ccm ichague moja kati ya haya mawili, ama ikubali kufa kifo cha aibu kwa kukubali kuendelea kumhifadhi Rostam au kimtimie Rostam kutoka kwenye chama. Vinginevyo, moto utawaka na kuishangaza Dunia.
Sasa imedhihirika waziwazi kuwa adui namba moja anayeifilisi nchi hii ni ccm. Chama hiki ndiyo kimekuwa mwavuli wa kufunika uovu na waovu wote wanaoifilisi nchi yetu na kusababisha mateso makubwa kwa wananchi. Chama hiki ndicho kinacholea watu waina ya Rostam na kuwatetea kwa maneno ya kila aina ili waonekane mbele ya wapiga kura wao kuwa ni watu wazuri. Pamoja na jitihada hizo za kufunika uovu unaofanywa na wanachama wao ambao ni mafisadi papa, wananchi hatimaye tumeweza kubaini uovu huo na vinara wao.
Sasa ccm ichague moja kati ya haya mawili, ama ikubali kufa kifo cha aibu kwa kukubali kuendelea kumhifadhi Rostam au kimtimie Rostam kutoka kwenye chama. Vinginevyo, moto utawaka na kuishangaza Dunia.