Kwa game za mpira matoleo ya simu naweza vipi kucheza friendly au ligi kwa kuchagua timu kirahisi, Sina muda wa kujenga vikosi online

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Huwa napenda sana kucheza game ya mpira kwenye playstation, x box na pc kwasababu mambo ni chap chap, ukiwasha game waweza kuchagua timu unayotaka unazama uwanjani kulisakata kabumbu.

Kwenye game za simu nimeshusha dls na fifa naona ni mpaka ujenge vikosi, huo muda sina kwakweli, hii kitu ipo hata kwenye ps, xbox na pc lakini mimi sio mdau.

Naombeni mnijuze kama kuna njia za kuchagua timu nicheze friendly ama ligi kwa kuchagua timu nayotaka,

Yani napenda nikiingia kwenye game nachagua natengeneza hata ligi timu 8, mbungi inaanza kupigwa ama nikita mechi ya fasya nachangua madrid acheze dhidi ya psg, mambo yasiwe mengi,
 
Kama una simu nzuri emulate games za Ps2, Wii ama switch kama simu haina nguvu hata psp. Sema ili u enjoy tafuta telescopic gamepad, unazipata Aliexpress around 20k-30K.

images.jpeg-52.jpg


Kwa games za kawaida tafuta First touch soccer (ndugu yake Dls) sema hili ni la ku google halipo playstore.
 
Kama una simu nzuri emulate games za Ps2, Wii ama switch kama simu haina nguvu hata psp. Sema ili u enjoy tafuta telescopic gamepad, unazipata Aliexpress around 20k-30K.

View attachment 2755306

Kwa games za kawaida tafuta First touch soccer (ndugu yake Dls) sema hili ni la ku google halipo playstore.
Chief Mkwawa, sanate kwa kutoa mchango, nisahishe kama nimekosea ila nachojua ni kwamba makampuni mengi yanayotengeneza games walaishaacha kutoa game za ps2 kitambo sana, Kwa game za mpira za kisasa ntazikuta kweli ?
 
Chief Mkwawa, sanate kwa kutoa mchango, nisahishe kama nimekosea ila nachojua ni kwamba makampuni mengi yanayotengeneza games walaishaacha kutoa game za ps2 kitambo sana, Kwa game za mpira za kisasa ntazikuta kweli ?
Unakuta hizo hizo za zamani, Switch unapata za sasa.
 
Back
Top Bottom