Kwa epl, waingereza wanapaswa kuwajengea waasisi wao minara.

crankshaft

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,410
3,376
Timu zote kubwa zinamilikiwa na wawekezaji kwa hiyo uwekezaji wao lazima uangalie faida na hasara tofauti na madrid na barcelona. Madrid,barca na wakubwa wengine ulaya wakiona mchezaji bora wanamwaga pesa fasta bila kujiuliza lakini epl nyingi zinachukua average players.

Hii ligi timu yako ikikutana na timu yoyote kubwa ulaya katika michuano ya uefa ni presha tupu kipigo njenje.

lakini nashangaa pamoja na yote ndo ligi inayolipa zaidi na yenye mapato makubwa zaidi duniani na maarufu zaidi duniani. Inasemekana hata wa qatar wa psg wanataka kuja kuwekeza spurs.
yaani leo mechi ya liver na man u inaonekana big match wakati liver wanasuasua huko. Yaani epl wana mechi yenye attraction duniani karibu kila weekend tofauti na wenzao.
kwa uelewa wangu mdogo wa mpira nilikuwa najua man u ya 2022 kushuka chini hata wafanye nini hawawezi mpiga barca wala madrid lakini sikuwahi acha shabikia.


hakika waingereza wanapaswa kuwajengea minara waasisi wao na mababu zao,hakika walijua kuikamata dunia.
 
Timu zote kubwa zinamilikiwa na wawekezaji kwa hiyo uwekezaji wao lazima uangalie faida na hasara tofauti na madrid na barcelona. Madrid,barca na wakubwa wengine ulaya wakiona mchezaji bora wanamwaga pesa fasta bila kujiuliza lakini epl nyingi zinachukua average players.

Hii ligi timu yako ikikutana na timu yoyote kubwa ulaya katika michuano ya uefa ni presha tupu kipigo njenje.

lakini nashangaa pamoja na yote ndo ligi inayolipa zaidi na yenye mapato makubwa zaidi duniani na maarufu zaidi duniani. Inasemekana hata wa qatar wa psg wanataka kuja kuwekeza spurs.
yaani leo mechi ya liver na man u inaonekana big match wakati liver wanasuasua huko. Yaani epl wana mechi yenye attraction duniani karibu kila weekend tofauti na wenzao.
kwa uelewa wangu mdogo wa mpira nilikuwa najua man u ya 2022 kushuka chini hata wafanye nini hawawezi mpiga barca wala madrid lakini sikuwahi acha shabikia.


hakika waingereza wanapaswa kuwajengea minara waasisi wao na mababu zao,hakika walijua kuikamata dunia.
Kweli Waingereza wamejua namna ya kuikamata Dunia.
 
Unambiwa ile mechi ya man utd vs Barcelona ndo imeweka rekodi yakuwa viewer wengi kuzid mechi zote za uefa kwapamoja hapo ndo utajua nguvu yatimu kama Manchester hatakama wanasuasua
 
Timu zote kubwa zinamilikiwa na wawekezaji kwa hiyo uwekezaji wao lazima uangalie faida na hasara tofauti na madrid na barcelona. Madrid,barca na wakubwa wengine ulaya wakiona mchezaji bora wanamwaga pesa fasta bila kujiuliza lakini epl nyingi zinachukua average players.

Hii ligi timu yako ikikutana na timu yoyote kubwa ulaya katika michuano ya uefa ni presha tupu kipigo njenje.

lakini nashangaa pamoja na yote ndo ligi inayolipa zaidi na yenye mapato makubwa zaidi duniani na maarufu zaidi duniani. Inasemekana hata wa qatar wa psg wanataka kuja kuwekeza spurs.
yaani leo mechi ya liver na man u inaonekana big match wakati liver wanasuasua huko. Yaani epl wana mechi yenye attraction duniani karibu kila weekend tofauti na wenzao.
kwa uelewa wangu mdogo wa mpira nilikuwa najua man u ya 2022 kushuka chini hata wafanye nini hawawezi mpiga barca wala madrid lakini sikuwahi acha shabikia.


hakika waingereza wanapaswa kuwajengea minara waasisi wao na mababu zao,hakika walijua kuikamata dunia.
ULICHOSAHAU NI KUHITIMISHA KWAMBA LIGI HII NI BORA KULIKO ZOTE ZENYE TIMU BORA TU.
 
Mkuu EPL ilikuwa inawakosa wachezaji wa america ya kusini kwasababu ya lugha

Wabrazil, argentina nk hawazungumzi english hapa timu za Spain zilipata kiurahisi hawa wachezaji

Pia miaka ya nyuma nchi kubwa ulaya km italy, german, spain,uholanzi ilikuwa mara chache mchezaji anatoka kwenye nchi yake

Hali ya hewa UK pia haikuwa rafiki kwa wachezaji kutoka america UK ni kisiwa

Ila sasa naona hili linaisha kutokana utandawazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom