Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,884
- 155,865
... ๐ง โบโบ ๐๐๐ ๐พ๐๐๐ ๐๐ผ๐พ๐๐
Hizi ni rekodi za soka ambazo ni ngumu kuzivunja na huenda huzijui.
01 โ Edson Arantes jina la utani, Pele ๐ง๐ท ndiye binadamu anayeshikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi Duniani (1,281) including na magoli ya mechi za kirafiki.
02 โ Sergio Ramos anashikilia rekodi ya kuoneshwa kadi nyingi zaidi za njano (26) ndani ya mechi (38).
03 โ Kwenye top six EPL, Tottenham ndio klabu ambayo haijatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa muda mrefu zaidi. Wana miaka (59) bila kutwaa kombe la ligi kuu.
04 โ Lionel Messi ๐ฆ๐ท ndiye binadamu pekee aliyefunga magoli mengi zaidi (91) ndani ya calendar ya mwaka mmoja.
ยป Messi pia ndiye binadamu pekee aliyetwaa tuzo nyingi zaidi za Ballon D'Or (7).
ยป Rais wa Liberia ๐ฑ๐ท, George Weah anashikilia rekodi ya kuwa mwafrika pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon D'Or.
05 โ Robert Lewandowski ๐ต๐ฑ anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi (5) katika mechi moja ndani ya dakika chache (9').
06 โ Jesse Lingard anashikilia rekodi ya forward aliyecheza mechi nyingi (25) bila kupiga shuti lolote golini.
07โ Eric Bailly ๐จ๐ฎ ndiye mchezaji pekee UEFA Champions league aliyepiga shuti mpira ukatoka nje ya stadium katika karne ya (21) โบโบ Man United vs Valencia.
08 โ Klabu ya Liverpool ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ inashikilia rekodi ya Dunia ya kukusanya points nyingi (97) kwenye msimu mmoja wa ligi yenye timu (20) bila kutwaa Ubingwa wa ligi kuu (18/19).
09 โ Sadio Mane ๐ธ๐ณ anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick ya mapema zaidi (Dakika 2') akiwa Southampton ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
10 โ Real Madrid ni klabu pekee kwenye historia iliyotwaa Ubingwa wa UEFA champions league mara (3) mfululizo ๐๐๐
11 โ Hary Kane amefunga magoli (155) bila kutwaa kombe lolote ๐ค
12 โ Aaron Svesve anashikilia rekodi ya kucheza dakika 90' bila kugusa mpira !!
13 โ Egypt ๐ช๐ฌ ambao ni mabingwa mara (7) wa Africa hawajawahi kushinda mechi yoyote kwenye kombe la Dunia !!
14 โ Suleyman Mamam wa timu ya taifa ya Togo ๐น๐ฌ alicheza soka dhidi ya Zambia ๐ฟ๐ฒ 2001 akiwa na umri wa miaka 13 na siku (310).
15 โ Golikipa Tom King kutoka Wales ๐ด๓ ง๓ ข๓ ท๓ ฌ๓ ณ๓ ฟ anashikilia rekodi ya kufunga goli kwa umbali mrefu zaidi. 21 January 2021 aliifungia goli klabu yake ya Newport county akiwa kwenye (6), umbali wa (96.01) meters.
16 โ Cristiano Ronaldo anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi ya kichwa Duniani (145).
17 โ Cristiano Ronaldo anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi UEFA champions league (140) anashikilia pia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi kwenye timu za taifa Duniani (123).
18 โ Pele ๐ง๐ท alikuwa binadamu pekee aliyetwaa mara tatu kombe la Dunia. Rekodi hiyo inaishi mpaka sasa
19 โ Arsenal wanashikilia rekodi ya kutwaa Ubingwa wa EPL UNBEATEN, pia wanashikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi za ligi kuu (49) UNBEATEN- EPL ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
Arsenal pia wanashikilia rekodi ya timu za England zilizocheza mechi nyingi zaidi UEFA champions league but hawajawahi kutwaa Ubingwa.
20 โ Golikipa, Lev Yashin anashikilia rekodi ya kuokoa penati nyingi zaidi Duniani (140).
NB ; Tutaendelea next time.
๐ Amka na โ ๐๐๐ ๐พ๐๐๐
GOD MORNING โ๏ธ
Hizi ni rekodi za soka ambazo ni ngumu kuzivunja na huenda huzijui.
01 โ Edson Arantes jina la utani, Pele ๐ง๐ท ndiye binadamu anayeshikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi Duniani (1,281) including na magoli ya mechi za kirafiki.
02 โ Sergio Ramos anashikilia rekodi ya kuoneshwa kadi nyingi zaidi za njano (26) ndani ya mechi (38).
03 โ Kwenye top six EPL, Tottenham ndio klabu ambayo haijatwaa ubingwa wa ligi kuu kwa muda mrefu zaidi. Wana miaka (59) bila kutwaa kombe la ligi kuu.
04 โ Lionel Messi ๐ฆ๐ท ndiye binadamu pekee aliyefunga magoli mengi zaidi (91) ndani ya calendar ya mwaka mmoja.
ยป Messi pia ndiye binadamu pekee aliyetwaa tuzo nyingi zaidi za Ballon D'Or (7).
ยป Rais wa Liberia ๐ฑ๐ท, George Weah anashikilia rekodi ya kuwa mwafrika pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon D'Or.
05 โ Robert Lewandowski ๐ต๐ฑ anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi (5) katika mechi moja ndani ya dakika chache (9').
06 โ Jesse Lingard anashikilia rekodi ya forward aliyecheza mechi nyingi (25) bila kupiga shuti lolote golini.
07โ Eric Bailly ๐จ๐ฎ ndiye mchezaji pekee UEFA Champions league aliyepiga shuti mpira ukatoka nje ya stadium katika karne ya (21) โบโบ Man United vs Valencia.
08 โ Klabu ya Liverpool ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ inashikilia rekodi ya Dunia ya kukusanya points nyingi (97) kwenye msimu mmoja wa ligi yenye timu (20) bila kutwaa Ubingwa wa ligi kuu (18/19).
09 โ Sadio Mane ๐ธ๐ณ anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick ya mapema zaidi (Dakika 2') akiwa Southampton ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
10 โ Real Madrid ni klabu pekee kwenye historia iliyotwaa Ubingwa wa UEFA champions league mara (3) mfululizo ๐๐๐
11 โ Hary Kane amefunga magoli (155) bila kutwaa kombe lolote ๐ค
12 โ Aaron Svesve anashikilia rekodi ya kucheza dakika 90' bila kugusa mpira !!
13 โ Egypt ๐ช๐ฌ ambao ni mabingwa mara (7) wa Africa hawajawahi kushinda mechi yoyote kwenye kombe la Dunia !!
14 โ Suleyman Mamam wa timu ya taifa ya Togo ๐น๐ฌ alicheza soka dhidi ya Zambia ๐ฟ๐ฒ 2001 akiwa na umri wa miaka 13 na siku (310).
15 โ Golikipa Tom King kutoka Wales ๐ด๓ ง๓ ข๓ ท๓ ฌ๓ ณ๓ ฟ anashikilia rekodi ya kufunga goli kwa umbali mrefu zaidi. 21 January 2021 aliifungia goli klabu yake ya Newport county akiwa kwenye (6), umbali wa (96.01) meters.
16 โ Cristiano Ronaldo anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi ya kichwa Duniani (145).
17 โ Cristiano Ronaldo anashikilia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi UEFA champions league (140) anashikilia pia rekodi ya kufunga magoli mengi zaidi kwenye timu za taifa Duniani (123).
18 โ Pele ๐ง๐ท alikuwa binadamu pekee aliyetwaa mara tatu kombe la Dunia. Rekodi hiyo inaishi mpaka sasa
19 โ Arsenal wanashikilia rekodi ya kutwaa Ubingwa wa EPL UNBEATEN, pia wanashikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi za ligi kuu (49) UNBEATEN- EPL ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ.
Arsenal pia wanashikilia rekodi ya timu za England zilizocheza mechi nyingi zaidi UEFA champions league but hawajawahi kutwaa Ubingwa.
20 โ Golikipa, Lev Yashin anashikilia rekodi ya kuokoa penati nyingi zaidi Duniani (140).
NB ; Tutaendelea next time.
๐ Amka na โ ๐๐๐ ๐พ๐๐๐
GOD MORNING โ๏ธ