DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nna kadi ya kupiga kura hapa arusha mjini na pia nna kadi ya dar wakimtoa 2nairudisha cdm kwani pia nimejiandikisha kituo cha SHULE YA MSINGI MUGABE SINZA.
Mtoa mada anawezakuwa na yake! Lakini kimsingi kesi ya Mnyika haijakaa vizuri. Inahitaji hekima za jaji katika kuamua kama kuna authority za kutosha in favour of Mnyika. Tusisahau pamoja na wingi wa kura Lema alipigwa chini. Sasa mpaka mkurugenzi wa uchaguzi alijikanyaga what do we expect? Upande wa Mnyika utakuwa umefanya mistake kama Kiravu hakuitwa mahakamani. Ushahidi wake ungeweza kurepair damages on Mnyika's side
tatizo siyo uwingi wa kura bali hoja iliyoko mbele mlalamikaji anadai kura 14,000. kuwa hazipo ambazo hata akiwa hazimpi ushindi. Lema hoja iliyo mtoa ni lugha aliyo kuwa akitumia kipindi cha kampeni ambayo kwa historia iliwahi kumtoa mbunge mwingine huko Shinyanga (sikumbuki jina lake)Mtoa mada anawezakuwa na yake! Lakini kimsingi kesi ya Mnyika haijakaa vizuri. Inahitaji hekima za jaji katika kuamua kama kuna authority za kutosha in favour of Mnyika. Tusisahau pamoja na wingi wa kura Lema alipigwa chini. Sasa mpaka mkurugenzi wa uchaguzi alijikanyaga what do we expect? Upande wa Mnyika utakuwa umefanya mistake kama Kiravu hakuitwa mahakamani. Ushahidi wake ungeweza kurepair damages on Mnyika's side
Kwanini hazipo kura 14 elf?tatizo siyo uwingi wa kura bali hoja iliyoko mbele mlalamikaji anadai kura 14,000. kuwa hazipo ambazo hata akiwa hazimpi ushindi. Lema hoja iliyo mtoa ni lugha aliyo kuwa akitumia kipindi cha kampeni ambayo kwa historia iliwahi kumtoa mbunge mwingine huko Shinyanga (sikumbuki jina lake)
Sijui bongo zingine zikoje? Yaani Ofisi za CCM kusafishwa ndio Mnyika kuvuliwa ubunge? Pengine kuna kisomo kitasomwa hapo muda si mrefu; na hili nalo umewahi kujiuliza?
Nna kadi ya kupiga kura hapa arusha mjini na pia nna kadi ya dar wakimtoa 2nairudisha cdm kwani pia nimejiandikisha kituo cha SHULE YA MSINGI MUGABE SINZA.
Mbona huku Bihalamuro wana wiki nzima wanasafisha ofisi lakini still Mukasa kapigwa kibendi!Mbona hata haiusiani? ofisi za CCM! kuvuliwa ubunge.! Jaji kukasirishwa na majibu ya Mnyika!
Mkuu Kunguru Mweusi hivi sasa CCM wapo kwenye mchakato wa kuchaguana. Jana nimerudi nyumbani maeneo fulani nikakuta wanafanya mkutano sehemu ambayo huwa napata juice iliyotiwa chachu kabla sijaenda home. Baadaye ndio nikajua kwamba walikuwa wanachaguani kwenye matawi. Huo ndizo shamrashamra hizo.Kila ninapopita ktk Ofisi za CCM Ubungo siku 2 hizi, nahisi kuna jambo kubwa linaweza kutokea Jimboni hapo.
Furaha na maandalizi ya hapa na pale yanaandaliwa.
Ofisi zinaonekana kama zinasafishwa safishwa, matawi vile kama yanaanza kufufuliwa, hamasa za chama zinaanza kuonekana ambapo kwa kipindi kirefu kiltoweka.
kwa haraka haraka unaweza ukahisi kuna harakati kubwa za kisiasa zinaweza kutokea kipindi kifupi baadae
JEE HICHI NDICHO KITACHMUANGUSHA MNYIKA KTK KESI YAKE:
kukiri kwa Mnyika Mahakamani tofauti ya kura zaidi ya 14,000 inayoonekana katika fomu iliwasilishwa mahamani
Kutumika komputa yake kuhesabiwa kura
kukerwa kwa Jaji Msuya jinsi Mnyikai alivyokuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wakili wa mlalamikaji, Issa Maige,
Nna kadi ya kupiga kura hapa arusha mjini na pia nna kadi ya dar wakimtoa 2nairudisha cdm kwani pia nimejiandikisha kituo cha SHULE YA MSINGI MUGABE SINZA.
Mkuu Kunguru Mweusi una ushahidi gani kuwa kufanya usafi ofisi za maghamba ni kumwondolea ubunge Mhe Nyika????Kila ninapopita ktk Ofisi za CCM Ubungo siku 2 hizi, nahisi kuna jambo kubwa linaweza kutokea Jimboni hapo.
Furaha na maandalizi ya hapa na pale yanaandaliwa.
Ofisi zinaonekana kama zinasafishwa safishwa, matawi vile kama yanaanza kufufuliwa, hamasa za chama zinaanza kuonekana ambapo kwa kipindi kirefu kiltoweka.
kwa haraka haraka unaweza ukahisi kuna harakati kubwa za kisiasa zinaweza kutokea kipindi kifupi baadae
JEE HICHI NDICHO KITACHMUANGUSHA MNYIKA KTK KESI YAKE:
kukiri kwa Mnyika Mahakamani tofauti ya kura zaidi ya 14,000 inayoonekana katika fomu iliwasilishwa mahamani
Kutumika komputa yake kuhesabiwa kura
kukerwa kwa Jaji Msuya jinsi Mnyikai alivyokuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wakili wa mlalamikaji, Issa Maige,
mwenzio yalishanikuta sababu ya hizi thread za kidaku daku................?Unatutafutia ban au?