Hapana mkuu usimkatishe tamaa mwenzio, anzia kwa ofisa utumishi wako ataandika barua ya utambulisho nenda navyo TRA (CUSTOMS) kwenye ofisi ya kamishina kuna kitengo kipo pale watakupa fomu. Lakini lazima uwe na hiyo barua ya mwajiri,salaryslip pamoja na documents za kuthibitisha kuw aumenunua hilo gari i.e invoicena bill of lading.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.