Kisiya Jr.
Senior Member
- Nov 21, 2011
- 102
- 29
Habari zenyu wanajamvi.
Kusema kweli hili jukwaa na Love Connect binafsi naliheshimu mno,naamini litasuluhisha hitaji la mtima wange. Ni Siku nyingi nimekuwa nahitaji kufunguka nami nimpate ndege,Ila kwa mentality za wanajamvi nimeshindwa ndio maana Leo nimeamua kuja na Uzi huu kwanza ili nikipata majibu ndo nikajipange
Binafsi naamini kila binadam anapenda kupendwa bila kujali hali yake ya kiuchumi wala kielimu au kasoro yoyote ile. Hapa jamvini wanatafuta wenza sifa zao kubwa ni;
1.Pesa
2.Kazi
3.Elimu
4.Mvuto.
Leo naomba niongelee kidogo pesa. Ninavoona Mimi watu wanaingia kwenye mapenzi wakiwa na mentality za spending only ndo wanahisi watadumu...stupid!
Kwa mfano flesh graduate wa chuo hapa kwa men hawezi kupata mpenzi,kisa hana kazi hivyo hana hela. Wanawake wengi bado wanahisi wenyewe ni watumiaji tu sio wataftaji,hawezi kukaa na kijana kama Mimi tukajipanga nae tukatengeneza maisha na kuwa historia ya mafanikio.
Badala yake wanapaka wanja na kwenda milangoni kwenye nyumba za starehe ili wanaume waje wawaokote na kuwaingiza ndani.
Leo simalizii....
Kusema kweli hili jukwaa na Love Connect binafsi naliheshimu mno,naamini litasuluhisha hitaji la mtima wange. Ni Siku nyingi nimekuwa nahitaji kufunguka nami nimpate ndege,Ila kwa mentality za wanajamvi nimeshindwa ndio maana Leo nimeamua kuja na Uzi huu kwanza ili nikipata majibu ndo nikajipange
Binafsi naamini kila binadam anapenda kupendwa bila kujali hali yake ya kiuchumi wala kielimu au kasoro yoyote ile. Hapa jamvini wanatafuta wenza sifa zao kubwa ni;
1.Pesa
2.Kazi
3.Elimu
4.Mvuto.
Leo naomba niongelee kidogo pesa. Ninavoona Mimi watu wanaingia kwenye mapenzi wakiwa na mentality za spending only ndo wanahisi watadumu...stupid!
Kwa mfano flesh graduate wa chuo hapa kwa men hawezi kupata mpenzi,kisa hana kazi hivyo hana hela. Wanawake wengi bado wanahisi wenyewe ni watumiaji tu sio wataftaji,hawezi kukaa na kijana kama Mimi tukajipanga nae tukatengeneza maisha na kuwa historia ya mafanikio.
Badala yake wanapaka wanja na kwenda milangoni kwenye nyumba za starehe ili wanaume waje wawaokote na kuwaingiza ndani.
Leo simalizii....