Trice Sturmius
Member
- Sep 8, 2011
- 41
- 3
- Thread starter
- #21
Achana na huyo senetor, still he is a first year aliyeipata nafas hyo kwa kubahatisha bahatisha. Nimeligundua hilo kupitia threads zake na comments.
hata mim nimeliona hlo. Kaz yak kusifia chuo, istoshe kufauru kwnyew kw kuchabo, G.P.A ya kuchechemea, asa chuo unaksfia whl we sifa huna! Hy senetor anaonekana hazmtoshi. Wise man alwys use hs wisdom 2 judge. Hy mwnze2 anaonekana alshawah hudhuria clinic pale milembe. Msom km hy hawez kuponda vyuo vy wenzie na maswal y wasomi wenzie il'hal 2po kwny jukwaa la elimu. Namuonea huruma sn hy jamaa, nina waswas na upeo wak wa kufkr. Kiukwl namuomb Mungu amjalie busara, nadhan itamtosha sna kujikomboa kutoka katk gza alilopo. Na nafkr hy co mwanachuo, coz hat msomi wa form 4 ana upeo wa kufkr na busara zaid yak. Hy atakuw mfanya usafi pal udsm ths y anajrnga kw kuonyesha anakfaham chuo kile, bt kiukwl Aris haimtambui.