Silly
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 569
- 180
Nadhani viwango vya uchangiaji kwa wabunge wengi vimekuwa duni kutokana na elimu yao ndogo pamoja na wengi kuwa na nafasi za kuzawadiwa. Kwa maana hiyo nadhani ni vema kuwepo na sifa lets say degree angalau moja ili mtu apitishwe kuwa mgombea wa ubunge, na diploma/certificate kwa madiwani. Kama ikiwa hivi mimi nadhani vile vituko vya mjengoni Dom na halmashauri zetu vitapungua maana wengi watakuwa focussed,
nawasilisha...
nawasilisha...