Zorrander
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 438
- 233
Naunga mkono hoja kwamba wabunge wanapaswa na elimu lakini najiuliza maswali hivi mbunge kama Mwingulu Nchemba kwani hana degree???? Juma Nkamia??? na wengine wengi tu..
Je kama wanazo kweli unaweza kulinganisha mchango wao labda na wa mbunge kama Mnyika ambaye inasemekana hana cheti???? Kiwango flan cha elimu kinahitajika lakini pekee hakitoshi katika kutambua kiongozi bora.
Je kama wanazo kweli unaweza kulinganisha mchango wao labda na wa mbunge kama Mnyika ambaye inasemekana hana cheti???? Kiwango flan cha elimu kinahitajika lakini pekee hakitoshi katika kutambua kiongozi bora.