Kuwekwa database private sector

lee jack

JF-Expert Member
Jan 17, 2017
922
1,436
Habar zenu ndugu nina swali kuhusu kuwekwa kwenye database baada ya interview kwenye private sector.

Iko hivi, mtu kafanya interview baada ya mchujo akawa amefaulu interview ila akaambiwa kwa sasa hutaanza kazi ila baadaye tutakuita

Je, mliowahi kukaa kwenye database ilichukua muda gani kuitwa kazini?

Msaada
 
Habar zenu ndugu nina swali kuhusu kuwekwa kwenye database baada ya interview kwenye private sector.

Iko hivi, mtu kafanya interview baada ya mchujo akawa amefaulu interview ila akaambiwa kwa sasa hutaanza kazi ila baadaye tutakuita

Je, mliowahi kukaa kwenye database ilichukua muda gani kuitwa kazini?

Msaada
kumbe private wana database ? Nilikuwa sijui aisee

Ila kiprivate Kama hauna connection nazani utasikilizia kweny Bomba
 
Kuhusu sekta binafsi kitu kikubwa zaidi cha kujua ni wamepewa mamlaka ya kujitengenezea sheria zao ndogo ndogo ambazo hazikinzani na katiba ya nchi.

Kuwa au kutokuwa na kanzi data na namna ya kuiendesha sio takwa la kisheria bali ni maamuzi binafsi ya kampuni husika. Kwa maana hiyo, zipo kampuni zenye kanzi data na zipo ambazo hazina.

Hata hivyo ni nani yuko kanzi data, na ni muda gani wanaita mtu aliyeko kwenye kanzi data huwa inategemea na utaratibu wa kampuni husika, japo mara nyingi ni kumuita mtu pale wanapokuwa na uhitaji.

Mimi nawafahamu watu waliowahi kufanya interview sekta binafsi na wakapigiwa simu baada ya miezi zaidi ya sita na kuambiwa endapo bado wana uhitaji na ajira waende kuripoti kazini.
 
Kuhusu sekta binafsi kitu kikubwa zaidi cha kujua ni wamepewa mamlaka ya kujitengenezea sheria zao ndogo ndogo ambazo hazikinzani na katiba ya nchi.

Kuwa au kutokuwa na kanzi data na namna ya kuiendesha sio takwa la kisheria bali ni maamuzi binafsi ya kampuni husika. Kwa maana hiyo, zipo kampuni zenye kanzi data na zipo ambazo hazina.

Hata hivyo ni nani yuko kanzi data, na ni muda gani wanaita mtu aliyeko kwenye kanzi data huwa inategemea na utaratibu wa kampuni husika, japo mara nyingi ni kumuita mtu pale wanapokuwa na uhitaji.

Mimi nawafahamu watu waliowahi kufanya interview sekta binafsi na wakapigiwa simu baada ya miezi zaidi ya sita na kuambiwa endapo bado wana uhitaji na ajira waende kuripoti kazini.

Sawa
 
ndio majibu yao, utayazoea tu inaonekana wewe ni mgeni kwenye kutafuta kazi,. taasisi nyingi binafsi tena za nje hazimwambii mtu amefeli usaili, wanamajibu yao flani ya kutomkatisha mtu tamaa ila ndio hivyo wanakuwa wameshakutema

Aiseee ngoja nijiongezee
 
ndio majibu yao, utayazoea tu inaonekana wewe ni mgeni kwenye kutafuta kazi,. taasisi nyingi binafsi tena za nje hazimwambii mtu amefeli usaili, wanamajibu yao flani ya kutomkatisha mtu tamaa ila ndio hivyo wanakuwa wameshakutema

Halaf si bora waseme tuu umekosa
Mtu ufanye mengine imagine unaambiwa usubir
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom