sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,154
Kuna kipindi niliwahi kuwa mtaa moja na familia flani, wengi tulijua kwamba wapo watatu tu ni mpaka siku ya msiba wa mtoto mlemavu ndio tukajua kuwa kulikuwa na mtoto wa ziada, ni jambo lililonishangaza sana.
Na chanzo kikuu bila kupepesa macho huwa ni kwamba wazazi wanaona aibu kwenye jamii kuhofia kusemwa vibaya, hizo sababu zingine kwamba ni kwajili ya usalama wa mtoto ni kivuli tu cha kujifichia.
wapo wazazi wanaothubutu kuwafungulia watoto kwanini wengine wafungie ?
adhabu iwepo ya kifungo ama faini ya milioni 5
Na chanzo kikuu bila kupepesa macho huwa ni kwamba wazazi wanaona aibu kwenye jamii kuhofia kusemwa vibaya, hizo sababu zingine kwamba ni kwajili ya usalama wa mtoto ni kivuli tu cha kujifichia.
wapo wazazi wanaothubutu kuwafungulia watoto kwanini wengine wafungie ?
adhabu iwepo ya kifungo ama faini ya milioni 5