GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,176
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.