BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,988
- 2,012
Mimi aki nidanganya ata ishia kulamba riperemende hadi kuchwe!
mkuu nimecheka sana,kwa kifupi huyo siyo mstaarabu kabisa inatakiwa atoe taarifa juu ya "ugeni" wake.Inonesha hapo alikuwa na tamaa ya vyakula na vinywaji.Tamaa inawasumbua sana baadhi ya dada zetu