stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,825
- 22,930
Kwa wanaume wenzangu,unakutana na mpenzi wako wa kike ambae hamjaonana siku nyingi,mnakubaliana kuwa mwende faragha sehemu mkapeane ma-vituz anakubali,unafanya booking ya chumba,na kabla ya hapo mnapata ma-misosi kama sio ma-vinywaji ya nguvu,inafikia muda mnaamua kuenda ndani na mkiwa huko ndani kabla hamjaanza ma-vituz mwenzio anakwambia yuko kwenye siku zake,kwa hiyo mpeane romance tu mtafanya siku nyingine,sijui wenzangu mnalionaje hili!