Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,829
- 225,639
Nasaidia kama wanadamu wengine iwapo nina resource za kufanya hivyo
Nikiwa chini ya miaka 18 ni wajibu ya walionileta duniani kuhakikisha ninapata mahitaji yote ya binadamu
Kama sipati watu hao wanafanya kosa maana sijajileta duniani,wao wamenileta
Hivyo alienisaidia nikiwa below 18 infact wawadai wazazi wangu repayments
Siwajibiki kwa yeyote na jamii hii inafeli inapofanya mahusiano ya wanadamu kama repayments
Huwezi deprive my earning energy for my kids kukufanyia wewe kazi za kulea watoto wako binafsi eti nitapata "baraka"
Kama ni hivyo hizo baraka zichukue wewe zikusaidie kulea hao watoto wako uliowaleta kwa kufanya ngono bila kuelewa wanahitaji mahitaji na sio kwenda kuiba nguvu za wanadamu wengine wakulelee!
We jamaa bwana!
Haujisikii fahari kuwasaidia wazazi majukumu kwa kuwasaidia wadogo zako wa damu!
Sent using Jamii Forums mobile app