Kuwa first born sometimes ni shida

Mi first born ila kuna huyu dogo ni mtukutu nimempa kipondo mpaka hataki kuniona madogo wakizingua lawama zinakuja kwetu zote sasa ilo sipo tayari nitamyoosha sawia tens barabara, niligoroga sabuni ya unga nikatia pilipil kwa mbaalii nikamloesha nikamlamba waya mpaka nikamuonea huruma
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
 
Huu uzi umenikumbusha mbali sana,that time niko na miaka 19 tu ndo kwanza naanza chuo

nlikua nshajua kua nategemewa,so bum likitoka tu kama kuna ada nalipa pango nalipa nabakiwa na kihela cha kula na stationery tu,kilichobaki natuma home dogo asome,sikuwahi pendeza wala kula bata na ile hela,nguo zenyewe nkua najiendea karume na nunua matishet ya bukubuku.

lakini ikafika kipindi akawa hataki shule,mara achague shule hiii ile siitaki,sijawahi kata tamaa,siku moja nilituma hela ya ada,maza aliongea kauli ambayo hadi leo haijawahi nitoka

Alisema "pole mwanangu umekua baba katika umri mdogo" i felt that to my bones

Mshua alifariki nikiwa na 5 years,so all our life na mdogoangu maza amepambana sana,so nlijiwekea ahadi kua,nitapambana mpaka tone la mwisho,ili maza na dogo waishi vizuri,thank God amekua akinifungulia milango,hawawezi kosa mkate wala mahitaji muhimu.
Hongera sana mkuu kwa kubeba majukumu ya familia
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
Hahaaa uyo nyoko dadeki zake sasa uyo unamsaidia tu then ktk matokeo unamsema mpaka ajione hajui tena unamuumua mbele ya wazazi
 
Nilikutana na mtu mmoja wa kanda fulani akaniambia, jamii nyingi kwenye familia wanatumia mtoto wa kwanza kutanya matambiko yao ambayo huwaathiri wao na maisha yao.
Akaniambia nichunguze mafanikio ya first born wengi na mikasa ya maisha wanayokutana nayo.
Nilikuwa mnyonge sana japo sijui ukweli wa hili.

Lakini Mungu ndiye anaamua hatma ya maisha ya kila kiumbe.

Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app
 
Wadogo zangu wawili wananielewa vema sana nipoje

Huwa sicheki nao kabisaaaa, ukiomba hela ya shule unatakiwa kuja na maendeleo yako ya shule kama huwezi kajitafutie

Kwenye maswala ya shule sicheki na kima yoyote

Na nimewaambia mkishindwa kila mtu akatafutr pa kukaa sio kwenda kusumbua wazee
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.

Unamchekea mzee, huyo unatakiwa upigge awe na woga na ww kwanza
 
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.

First borns are automatically deputy parents ukiwa mzaliwa wa kwanza yani wewe unakua ni mzazi mwandamizi . This is Africa, ndo tunaishi kwenye hizo falsafa.
 
Family, Duty and Honor..

Family comes first, kama kichwa cha familia unatakiwa kuwa pamoja na familia yako muda kuilinda, Kuihudumia na kuiongoza..You can't protect the family if you're not with the family.

Duty comes second...As Kiongozi wa familia Timiza wajibu wako katika familia kama kichwa wa familia anavyotakiwa kua..Hatma ya familia ipo mikononi mwako. Kama Kiongozi fanya wajibu wako uweze kuivusha KIUCHUMI,KIAKILI,KIIMANI NA KIJAMII.

Then Honor.. Ukiyatimiza hayo utapata heshima yako unayostahili kama kichwa wa familia. Utazeeka ukiwa una uso ulio na afya njema maana familia yako itakua mikononi salama mwa mtu uliyemrithisha maneno hayo. Family Duty and Honor.
We all want to belong to something...We belong to the family.. Our family that we care and love.
-Vinchii
unachanganya mambo hapo mkuu,

majukumu ya kifamilia unayozungumzia ww ni ile ya kwako mwenyewe waliotoka viunoni mwako au tumboni mwako.
kama Baba au Mama.
 
Sante sana,
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.
Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..💪👊🤝
 
Sante sana,

Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..
Hahaha, Deputy parents. Ubongo unakomaa kabla ya wakati
 
Sante sana,

Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..
Hahaha, Deputy parents. Ubongo unakomaa na majukumu kabla ya wakati
 
Sasa mimi ni first born ila nipo peke yangu....Huu uzi unanihusu?
 
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.
Ni hatari sana..
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
As kaka mkubwa nashukuru nilipokea majukumu kuwavusha wadogo zangu hadi Uarabuni (UAE) huko wakafanikiwa Ajira na maisha .... sasa sina maResponsibility.!!
 
Huu uzi umenikumbusha mbali sana,that time niko na miaka 19 tu ndo kwanza naanza chuo

Nilikuwa nshajua kuwa nategemewa, so bum likitoka tu kama kuna ada nalipa pango nalipa nabakiwa na kihela cha kula na stationery tu,kilichobaki natuma home dogo asome,sikuwahi pendeza wala kula bata na ile hela,nguo zenyewe nkua najiendea karume na nunua matishet ya bukubuku.

lakini ikafika kipindi akawa hataki shule,mara achague shule hiii ile siitaki,sijawahi kata tamaa,siku moja nilituma hela ya ada,maza aliongea kauli ambayo hadi leo haijawahi nitoka

Alisema "pole mwanangu umekua baba katika umri mdogo" i felt that to my bones

Mshua alifariki nikiwa na 5 years,so all our life na mdogoangu maza amepambana sana,so nlijiwekea ahadi kua,nitapambana mpaka tone la mwisho,ili maza na dogo waishi vizuri,thank God amekua akinifungulia milango, hawawezi kosa mkate wala mahitaji muhimu.
Mungu azidi kukupiginia mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom