kofuli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 505
- 568
mm sina cha kujiuliza niunge humo kwa bei hyo natoa na nyongo sitaki kukasirika tena baada ya hapoHabarini wakuu, baada ya kuambiwa hilo dili nimebaki kujiuliza maswali
mawili ambayo naomba msaada wenu.
1.Nini madhara ya kuishi na figo moja?
2. Ni mambo gani ya kuchunga ili uweze kuishi vema na figo moja?
Majibu yenu yatanipa mwanga ili niweze kufanya uamuzi wa busara.