KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
- Thread starter
- #21
Kwani wazuri wanaisha mkuu?
Hata km utaruhusiwa kuoa mke wa pili,say wewe ni ustaadhi,utakichukua hicho kifaa kiwe namba 2,na utashangaa wakati wa harusi ya mke wa pili utakiona kifaa kingine kikali zaidi kikitoa zawadi,utaamua kuoa wa tatu wakati wa harusi ya tatu utagundua wote watatu ni cha mtoto...kuna mtoto mkali ameonekana hapo ukumbini......zoezi litajirudia....baadae ndo unaanza kupiga uko kwa uko...ngoma nayo inatia timu....kinachofatia ,unajua mwenyewe.
la msingi ni kuridhika...
Mkuu kuridhika wakati mwingine ni ishu, we mtoto amekuja kuku-hug tite na chuchu saa 6 ulizokua unazitafuta zimekuchoma kifuani, kweli utaridhika tu??