MKWECHE
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 299
- 64
Mie mkweche Mzee wa Igangidungu nimetafakari sana na Kujiuliza kwanini Masuala yasiyo ya Muungano hayana Wizara na Waziri wake?!Manake maswala yasiyoya Muungano manake ni ya Tanganyika,Je kwanini hayo yawe yananing'inia wakati nasisi ni Ardhi ndani ya Muungano.Na yanatamkwa bila woga kwenye Katiba!Mie naona kama hajatiliwa makazo vile
Wenzetu wamejizatiti wana serikali kabisa yenye bunge kamili(Baraza la wawakilishi),Katiba nzuri kamilifu na Wimbo wa Taifa lao tukufu.
Kimsingi wao wananafasi 'Faragha' ya kuzungumzia mambo yao kwa Uzuri.Ni vizuri na Ni Haki Yao!
Upande wa Pili Je kwanini sisi hali ya kutokuwa na mfumo rasmi wa kusimamia mambo yasiyo ya muungano iwe Kawaida laukama kwa jicho la pili naona yananing'inia!
Kwa Kuanzia mie mkweche ningependa Ndg.Dkt Jakaya ateuage na kuunda wizara rasmi ya kushughulika na majambo yasiyo ya muungano,nasisi tunaoguswa na hayo yasiyo ya muungano tuna mengi ya Kupigania na Kusimamia Jamanii ili nayo yaende sawa sawa!
Kimsingi Wizara zote zilizopo ni za Jamhuri ya Muungano na Waziri anaweza toka kokote(Kule au huku) ila Je Yasiyo ya Muungano yanakaakaaje nayo waziri aweza toka kokote?!
Kuna wengine wanasemaga Mie Mkweche eti ni 'Ngumbaru'ila wanasahau mie Tayari ni Mkweche!
Nawasilisha Kimkweche mkweche munifafanulie Jamanii!
Wenzetu wamejizatiti wana serikali kabisa yenye bunge kamili(Baraza la wawakilishi),Katiba nzuri kamilifu na Wimbo wa Taifa lao tukufu.
Kimsingi wao wananafasi 'Faragha' ya kuzungumzia mambo yao kwa Uzuri.Ni vizuri na Ni Haki Yao!
Upande wa Pili Je kwanini sisi hali ya kutokuwa na mfumo rasmi wa kusimamia mambo yasiyo ya muungano iwe Kawaida laukama kwa jicho la pili naona yananing'inia!
Kwa Kuanzia mie mkweche ningependa Ndg.Dkt Jakaya ateuage na kuunda wizara rasmi ya kushughulika na majambo yasiyo ya muungano,nasisi tunaoguswa na hayo yasiyo ya muungano tuna mengi ya Kupigania na Kusimamia Jamanii ili nayo yaende sawa sawa!
Kimsingi Wizara zote zilizopo ni za Jamhuri ya Muungano na Waziri anaweza toka kokote(Kule au huku) ila Je Yasiyo ya Muungano yanakaakaaje nayo waziri aweza toka kokote?!
Kuna wengine wanasemaga Mie Mkweche eti ni 'Ngumbaru'ila wanasahau mie Tayari ni Mkweche!
Nawasilisha Kimkweche mkweche munifafanulie Jamanii!