Ng'wanambula
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 197
- 53
Waana jf naomba ufafanuzi kwa wale wanaofahamu kuhusu hili suala la kuundwa kwa idara mpya ndani ya idara ya afya iliyokuwa chini ya DMOs.Nani anafahamu hiyo idara itaitwaje na itakuwa na vitengo gani?Maana nimesikia maafisa wa afya ndio wataongoza idara hiyo ambayo kimsingi itakuya inadeal na kinga na mkuu wa idara atakuwa afisa afya na siyo daktari kama ilivyo sasa.Huyo mkuu wa hiyo idara mpya ambaye ni health officer anatakiwa kuwa na qualification gani?Maana kuna mizee ina diploma tu kwenye halmashauri zetu na imeng'ang'ania madaraka wakati kuna vijana wana Bachelor za environmental health na wengine masters lakini hawapewi nafasi.