Jamani nauliza, hili Jukwaa ni kwa ajili ya nini?
Jamani nauliza, hili Jukwaa ni kwa ajili ya nini?
ni jukwaa la wajinga....
ni jukwaa la wajinga....
Title ya jukwaa juu inasemaje kwani??
Hii ni kwaajili ya kutafuta mpenzi/wapenzi
Hii ni kwaajili ya kutafuta mpenzi/wapenzi
Siku zote nilikuwa sifahamu kumbe?? Natangaza nia kwako madameX....
hili ni jukwaa la bahati na sibu. mia
ulipotelea wapi figganigga?