NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
So sad,
Huyu mama alikuwa ni mama wa aina yake.
Mh matukio yote yakutisha aliyokuwa akiexperience bado alikataa ulinzi.
Ya wezekana alikuwa sawa maana ukianza kuwa na ulinzi tena uhuru umekwisha.
Lakini kitendo chakwenda kwa jamabazi peke yake mh ni zaidi ya jasili.
Thanks Mtambuzi tunajifunza mengi zaidi kuwa hawa waharifu hawapendi kufuatiliwa na kama umeamua kuwafuatilia uwe makini sana na pia nivyema kujua kuwa ukiamua kuwa uandeal na hawa watu ujue maisha yako yako hatarini sana, kwani hawa watu wako nje na ndani ya serikali zetu.
Na katika nchi nyingi hawa ndio wanaoweka viongozi madarakani.
R.I.P Veronica mama shupavu na aliyekuwa si mwoga hata pale alipotishiwa maisha.
Huyu mama alikuwa ni mama wa aina yake.
Mh matukio yote yakutisha aliyokuwa akiexperience bado alikataa ulinzi.
Ya wezekana alikuwa sawa maana ukianza kuwa na ulinzi tena uhuru umekwisha.
Lakini kitendo chakwenda kwa jamabazi peke yake mh ni zaidi ya jasili.
Thanks Mtambuzi tunajifunza mengi zaidi kuwa hawa waharifu hawapendi kufuatiliwa na kama umeamua kuwafuatilia uwe makini sana na pia nivyema kujua kuwa ukiamua kuwa uandeal na hawa watu ujue maisha yako yako hatarini sana, kwani hawa watu wako nje na ndani ya serikali zetu.
Na katika nchi nyingi hawa ndio wanaoweka viongozi madarakani.
R.I.P Veronica mama shupavu na aliyekuwa si mwoga hata pale alipotishiwa maisha.
Last edited by a moderator: