Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
Ukitembea utaona lakini utajengaje hoja ? anecdotal evidence haina mashiko!
Easy! Umaskini au ufukara Tanzania uko rampant kiasi cha kutohitaji hata anecdotes. Umaskini ni hali halisi ya kila siku ya walio wengi (overwhelming majority). It's real and not phantasm. Sasa kwa kitu au vitu ambavyo ni hali halisi ya kila siku wala si vigumu hivyo kuvijengea hoja na kuhitaji minamba na mitakwimu ili kuipa nguvu hoja yako. Hamna mtu yoyote mwenye akili timamu atakeyeweza kujenga hoja ya kwamba eti "bongo ni tambarare" au "bongo Nyu Yoki". Hakuna. Wanaosema hivyo hawajui walisemalo.