Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Wanajamii, habarini za usiku bila shaka muwazima. Nakumbuka siku kadhaa zilizopita niliwaomba mnisaidie namna ya kutumia simu kama Modem, nawashukuruni wote mlionisaidia na kunipa maelekezo kwani nilidownload Nokia pc swit na kuinstall kwenye pc yangu na sasa natumia internet mwendo mdundo, kuna mwanajamii alishauri kuwa kutumia simu kama modem ni kuzuri ila naua simu, ushauri huu nauchukulia kwa makini pia. Kusema ukweli Jf ainanifundisha vitu vingi hata ambavyo sikutarajia kujifunza. Niliwapigia vodacom waliniambia simu yangu haiwezi kutumia internet. Ni kweli kama baadhi ya wana JF walivyosema costomer services waliowengi wanakaa mahali ambapo hata info. hawana kuhusiana na kile wanacho kitolea service. Nawshukuruni sana na Mungu awabariki sana.