NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,536
- 17,484
Mheshimiwa Rais, nimekusikia ukisema unaweka pembeni wazembe na wale wasiowatumikia wananchi ipasavyo, hadi pale watakapojirekebisha ndio unawarudisha!
Sasa mzembe asipochukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kushtakiwa Kwa kosa la kula mshahara Bure na uhujumu uchumi hawezi jifunza lolote, kumtumbua pekee haitoshi anapaswa kushtakiwa na magereza ndio sehem pekee pa kumtia mhusika adabu akanyooka!
Ni Tanzania pekee, kumtumbua mtu kazini inaonekana ni adhabu wakati hizo ni hatua muhimu za mhusika kutokidhi vigezo vya kazi aliyopewa na sio adhabu kabisa!
Ifike Mahali tuwe serious kwenye ishu ya kulitia taifa hasara Kwa uzembe was muhusika isiishie kutumbuliwa tu bali kishtakiwa Kwa kosa la uzembe na kutowajibika ipasavyo kama mhusika anaondolewa Kwa sababu hizo!
Naamini utasoma .
Mungu ibariki Tanzania!!
Sasa mzembe asipochukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kushtakiwa Kwa kosa la kula mshahara Bure na uhujumu uchumi hawezi jifunza lolote, kumtumbua pekee haitoshi anapaswa kushtakiwa na magereza ndio sehem pekee pa kumtia mhusika adabu akanyooka!
Ni Tanzania pekee, kumtumbua mtu kazini inaonekana ni adhabu wakati hizo ni hatua muhimu za mhusika kutokidhi vigezo vya kazi aliyopewa na sio adhabu kabisa!
Ifike Mahali tuwe serious kwenye ishu ya kulitia taifa hasara Kwa uzembe was muhusika isiishie kutumbuliwa tu bali kishtakiwa Kwa kosa la uzembe na kutowajibika ipasavyo kama mhusika anaondolewa Kwa sababu hizo!
Naamini utasoma .
Mungu ibariki Tanzania!!