AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,519
Naomba msaada jamani kuna binti amebleed mara mbili kwenye mwezi mmoja tena hana hata week sasa hivi anahisi dalili za bleed tena sasa hajabadili msosi wala mazingira sasa tatizo la bleed kama hiyo ni nini na litatuliwaje..?