Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,711
Ni kwenye usaili pale utumishi kuna wengine walienda na makobasi kabisa sasa nilitaka kuuliza hivi Utumishi kwenye masuala ya appearance huwa hawajali sana.
Maana watu tulikuwa casual mno hata tai hatukuvaa wengine.
Hivi inaweza kuppteza marks kweli?
Maana watu tulikuwa casual mno hata tai hatukuvaa wengine.
Hivi inaweza kuppteza marks kweli?