Kama wewe ni 'critical observe' utajibu swali hili: hivi kati ya Chadema na CCM kipi ni chama cha upinzani? Naomba uniambie chama x ni tawala kwa sababu hizi na hizi na chama y ni cha upinzani kwa sababu hizi na hizi. Right! Maana naona umeyavulia maji nguo.
Ukitumia masaburi utapata shida sana kujiuliza maswali kama unavyofanya. Sasa hili nalo swali au umezoea ku**waza wenzako?