Dah mnahangaika kweli kama swaini anayetaka kuzaa... !! Mtu yoyote mwenye akili timamu atashangaa sana umeshajua hutakiwi sasa unalazimisha ubaki ili iweje zaidi ya kuwa ulishavuta advance ya magamba sasa unatafuta muda zaidi ili kukamilisha kazi lakini wa mujini wajanja wamechomoa nyaya kabla malengo na kazi aliyotumwa haijakamilika!
Tena najua kinachomsumbua sana ni kuwa anajua kuna watu ndani na nje ya nchi ambao wanajua madudu yake mengi tuu na wameuchuna sasa lakini siku ikifika atashangaa.
Huu unaitwa uchangudoa kisiasa !! Dogo na ushamba wake wa mawese alifikiri anaweza kuja mujini na kujifanya anajua zaidi ya majunini wakati anatua na treni watu walimpokea akiwa na kiloba cha rambo na makopo ya mawese !!
Tena najua kinachomsumbua sana ni kuwa anajua kuna watu ndani na nje ya nchi ambao wanajua madudu yake mengi tuu na wameuchuna sasa lakini siku ikifika atashangaa.
Huu unaitwa uchangudoa kisiasa !! Dogo na ushamba wake wa mawese alifikiri anaweza kuja mujini na kujifanya anajua zaidi ya majunini wakati anatua na treni watu walimpokea akiwa na kiloba cha rambo na makopo ya mawese !!