PauloKichaa
Senior Member
- Jun 6, 2011
- 122
- 39
Huyu Prof ndio raisi atakayetutoa hapa kwa kweli, tatizo ni sisi watanzania na uvivu wetu na tusivyopenda kuambiwa ukweli sijui ka ccm watampitisha ila kwa quality hadi sasa kawaacha mbali sana ccm wengine