Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

Status
Not open for further replies.
Sasa ukiwa mahakamani ndo umeona uandike huo utumbo eti breaking news.si lazima kuandika kama huna cha kusema.shame on u.

mwenzio nimekaa na kutafakari nikagundua kuwa mashabiki wengi wa zitto ni waislamu nafikiri wemesha pata advantage ya kidi chao hapo walivo mabururaaaaaaa wende nae tu wakasome madrasa.
 
Mkuu,au mimi ndo sielewi.Kwani kesi iliyopo ni Zitto kupinga CHADEMA Wasijadili chochote kwakua amekata rufaa BARAZA KUU? Hivyo maamuzi tunayosubiri ni iwapo Mahakama itaridhia Zitto asichukuliwe hatua yoyote Au CHADEMA Waendelee kuchukua hatua dhidi yake,Kesi haimanishi Zitto akishinda iwe ndo karudishiwa nyadhifa zake.
Wwew hko sahihi kabisa; Sasa swali langu ni kwamba hata wasipomjadili kama anavyoamini Mkutano mkuu unawezatengua maamuzi ya CC , Je huyu mtu hivi kweli bado anahitajika CHADEMA???; Sioni ni nini anaking'ang'ania tofauti na kuvuta muda ili aendelee kukideform chama.
 
Wakuu kama uamuzi ndo huo,je,hiyo kesi ya msingi ni ipi na itasikilizwa wapi?
 
Mahakama ya nchi hii ya ajabu kabisa.......... Jaji Utamwa na ushenzi wake kama anaona ni sawa kimkumbatia Zitto kifuani mwake basi amrudishie vyeo vyake ndani ya chama
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom