Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

Status
Not open for further replies.
Baraza kuu Ni Mseto wa Makabila mbali mbali hakuna wana kasikazini wengi Wajumbe wa Baraza kuu wengi hawatabiriki Ndio Maana kipindi cha Chacha Wangwe walitaka kufanya maajabu ya Dunia lakini Chacha hakufika mkutanoni Siri anaijua Deus Malya wajumbe wa Baraza kuu wao ni wengi hata ukitembeza Bahasha wanaweza kula pesa na kuharibu Hali ya hewa vile vile kwani kura huwa ni ya Siri . Labda waendeshe kura ya kunyosha vidole juu hapo iakuwa kasheshe kwani hata wapinzani watanyosha kuogopa kufutwa uanachama

Chezea Mzimu wa chacha wangwe wewe..
 
Kila Jambo huwa lina mwisho wake mwisho wa Ubaya ni Aibu Leo huyu anaonekana hv kesho ataonekana tofauti Haya Malumbano ya Sasa Kati ya Zito na Freeman yameibua aibu nyingi na yanaleta Tafasiri nyingi kwa wana JF na sasa kila mmoja ana washabiki wake huku kila upande ukimwona mpendwa wao yupo sahihi lakini mwenye kujua Ukweli ni Mungu tu hata Mzimu wa Chacha wangwe Nao umebisha hodi CDM ukidai umesahaulika sana yaani hata bango TBC imekuwa issue !
Una mawasiliano na kuzimu? sijakuelewa!
 
Baraza kuu Ni Mseto wa Makabila mbali mbali hakuna wana kasikazini wengi Wajumbe wa Baraza kuu wengi hawatabiriki Ndio Maana kipindi cha Chacha Wangwe walitaka kufanya maajabu ya Dunia lakini Chacha hakufika mkutanoni Siri anaijua Deus Malya wajumbe wa Baraza kuu wao ni wengi hata ukitembeza Bahasha wanaweza kula pesa na kuharibu Hali ya hewa vile vile kwani kura huwa ni ya Siri . Labda waendeshe kura ya kunyosha vidole juu hapo iakuwa kasheshe kwani hata wapinzani watanyosha kuogopa kufutwa uanachama
Umesahau usemi wa CDM ni ya kazikazini, ya kabila moja, ya wakristu.
Sasa Mbona balaza linakuwa la wote tena?
hebu tuelimishe mkuu.
 
Ukitaka matatizo makao Makuu CDM wewe jidai kuhoja Matumizi ya Ruzuku na Ukabila sambamba na Ukanda na usithubu kuhoji iweje Mbunge atoke Marekani apitie Dubai Kama kiburudisho kwa freeman pia kaa kimya ukisikia M/kiti anajilipa madeni ambayo anadai anakidai CDM Haya Ndio yalimponza Marehemu Chacha Wangwe na Sasa Mzimu wake umebisha hodi ukiwa unalalamika kutelekezwa pasipo kukumbukwa hata kwa sala ya dk moja tu
Mizimu ya watu na mizimu yote iko huko iliko. Na hapana nafasi kati ya watu wahuku nahuko waliko.
Neno hili linarudi kwa watu kama neno tupu, halina Mizimu wala Muzimu
Hofu iliyo ndani kwako Mkuu........!!!
 
Hapo sasa...!!

Umeongea vyema sana

Sema tatizo WACHAGA WAMEZOEA SANA VYA KUNYONGWA,,ZITTO HAWAWEZ KUMFANYA KAMA WANGWE HATA SIKU MOJA

Mkuu

Hata huyo wakili aliyesababisha leo unamshangilia zitto ni mchagga na diwani wa CHADEMA pia...nyie maCCM vipi? Au ndo ile ya "sizitaki mbichi hizi?"
 
Hii ndio Tazania nchi yenye mbwembwe nyingi.....maajabu ya watu wakale yote yanavunjwa record hapa...ila ukweli utabaki pale pale hakuna chama cha upinzani chenye nguvu zaidi ya kuipundua CCM. haya maneno niliongea nyuma kabla hata chadema haijaanza kulumbana...na malumbano ya Chadema ndio ushindi kwa CCM. RIP Chadema
 
Naomba aliyeielewa hukumu ya leo anisaidie (preferably, mwanasheria). Jaji kasema si sahihi kwa Wakili Kibatala kula kiapo (?) kwa niaba ya Baraza la Wadhamini na Katibu Mkuu CHADEMA. Je, kesi hii imeamua kwa kutokufuatwa kwa taratibu (procedures) pekee au kuna masuala zaidi ya hayo yamezingatiwa? Kama Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini wakekula kiapo hicho, mwenendo wa kesi hii ungebadilika kwa namna gani? Msaada tafadhali.
 
Baraza kuu Ni Mseto wa Makabila mbali mbali hakuna wana kasikazini wengi Wajumbe wa Baraza kuu wengi hawatabiriki Ndio Maana kipindi cha Chacha Wangwe walitaka kufanya maajabu ya Dunia lakini Chacha hakufika mkutanoni Siri anaijua Deus Malya wajumbe wa Baraza kuu wao ni wengi hata ukitembeza Bahasha wanaweza kula pesa na kuharibu Hali ya hewa vile vile kwani kura huwa ni ya Siri . Labda waendeshe kura ya kunyosha vidole juu hapo iakuwa kasheshe kwani hata wapinzani watanyosha kuogopa kufutwa uanachama

Hilo Baraza Kuu lenye mseto wa makabila si la CHADEMA. CHADEMA ni chama cha wachaga. Siyo?
 
Hii ndio Tazania nchi yenye mbwembwe nyingi.....maajabu ya watu wakale yote yanavunjwa record hapa...ila ukweli utabaki pale pale hakuna chama cha upinzani chenye nguvu zaidi ya kuipundua CCM. haya maneno niliongea nyuma kabla hata chadema haijaanza kulumbana...na malumbano ya Chadema ndio ushindi kwa CCM. RIP Chadema
'very very RIP' ahaaaa
 
Chadema kabla haijfa nikikumbuka nacheeka,ilikuwa na mbwembwe nyiiingii..

ONA SASA INAKUFA KIFO DHALILI KABISA,KIFO CHA MENDE,

YANII ZITTO MMOJA TUH ANAWASUMBUA WATU MILLION MIA MOJA NA USHEE,,JE KUONGOZA TAIFA HII SACOSS WATAWEZA??

TAFAKARI,CHUKUA HATUA,CHADEMA NI JANGA LA TAIFA

Kwa maoni yako, Zitto unayemsifu kuisumbua CHADEMA ni mwanachama wa chama gani? Inaonekana kuna siri unaijua. Umemsikia Zitto alichokisema baada ya hukumu? Ninauhakika Zitto hawezi kukubali kuwa wewe ni mshabiki/mfuasi wake kwa mambo unayoandika hapa. Unamuharibia.
 
Taarabu iko kwenye kiitikio, kazi kwetu na misikiyo yetu isiyojua kuchuja cha kuupelekea ubongo. Ahhhhhhh Tanzania nchi yangu, stress free ever.......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom