Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

Status
Not open for further replies.
Subiri waing'oe hiyo shenzi type muichukue fasta

Nini unakusudi kusema mkuu? I have nothing to loose whether you fire him or not. But i can't be in ur side, bse i stand in judging issue critically and not wait others to think on behalf of me.
 
Ukweli kabisa.
Tanzania eheee
Nchi yangu ehee
Naenda nunua solar panel 3 ehee
na kagenerator kadogo eehhh
Tanesco waende kule, au wasipo enda kule, mimi mwenyewe nakuwa kishoka.


basi ni hatareeee
gesi nayo imepanda nilikuwa nanunua 54 sa hivi 63
 
SITAKI KUAMINI HILI NI ANDISHI LAKO.

Nahisi kuna mtu ame'hack id yako.. Imeandikwa kihuni sana mkuu, la hivi halipaswi kuwa andiko lako..

Nakuheshimu sana.. Andishi lako lapaswa kufanana na la mzee mwanakijiji!

Wasalaam!

kwani wewe ndiyo D. kafu.? kuna mtu kakuita hapo juu ukashwindwa kukanusha, matokeo yake ukajinasua kwa mifano ya kina Puttin!!
Ni wewe kweli?
 
Jambo usilolijua nisawa na usiku wa giza, mbona katika utetezi wenu amuoneshi sehemu ambayo mnakiri zairi pasina shaka kwamba Wasira Steevin aliposema Chadema haitafika Desemba 2012 itakuwa imekufa nipe kigezo gani alitumia nje ya kumtegemea Zitto kama kalata yao ya kuua chama kwa kuanzisha migogoro ya ndani ikiwa nipamoja na kupewa pesa ambazo Zitto amekuwa akizitumia kuwaonga badhi ya wenyeviti wa mikoa na wilaya pamoja na vijana wanaojulikana kama wachumia tumbo iliwajifanye kukivuruga chama???Sasa napenda nikutoe hofu kwamba Chadema haitakufa sana sana kwa ujinga wa Zittoccm ndiyo wameumbuka mchana kweupe chezea piiiiiiioooooz poweeeeeeeeeeeer!!!!!!????wewe.
 
we waona ajabu zitto kuzomewa unasahau babu slaa kupigwa mawe kigoma kama mzinzi wa iraq , kwanza waliomzomea ni wachache sana

lakini chumba cha mahakama wanaingia wachache, unamaanisha hao waliokuwa wote walimzomea kwa uchache wao au?
 
Kuna tetesi kwamba huenda Zitto akateuliwa kuwa WAZIRI FEDHA ndiyo maana anaupigania UBUNGE wake by teeth and nails.

Tetesi zinasema kwamba kama CCM waliweza kumpatia UMEYA Henry Matata aliyefukuzwa UDIWANI na CDM basi upo uwezekano wa CCM kumpatia UWAZIRI Zitto ili aendelee kuivuruga vizuri CDM kama afanyavyo Henry Matata Ilemela MZA.

Lakini wahafidhina wa CCM wanapinga mpango huo kwa nguvu zote.

Hizi habari ni tetesi bado hazijathibitishwa, hivyo mtu yeyote asini quote
 
Ni imani ya kila mmoja kuwa haki itaonekana ikitendeka ya nn kukimbilia mahakamani?jamani Zitto
 
zito nisawa na mwizi anayefukizwa na raia wenye hasira kali akajisalimisha polis mwenyewe alianza ligi mwenyewe mbona anaomba refa asimamishe pambono ngoja tukutoe manundu. kudadaki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom