Mtei express
Mkuu nipatie hizo links... Kuibuka kidedea Mahakamani hakumhalalishii kuwa kidedea ndani ya CDM... so far majority ya wanachadema hawamtaki Zitto ... Hivi mahakama ikimrejesha ndani ya CDM atafanyaje? wote hawataki kushirikiana nae....wote wanamuona ni msaliti wa siku nyingi...sasa wameshindwa kumvumilia! ... Zitto amejimaliza kisiasa ...angekuwa na busara asingeenda mahakamani mpaka pale ambapo maamuzi ya KK yangetolewa...Mkuu kama ulifuatilia kesi kwa kusoma hiyo thread aliyoanzisha yericko, sishangai uki'coment hivyo.
Hebu jaribu kutafuta source zingine zilizoelezea mwenendo mzima wa ile kesi.
So far Zitto ameibuka kidedea, Lissu na timu yake wamebwagwa.
Angali wasikuite msaliti, make hao hawapendi kuambiwa ukweli
Kumbuka Zitto bado hajafukuzwa uanachama, mahakama haiwezi kumrejesha Zitto kwa kuwa bado hajafukuzwa uanachama.Mkuu nipatie hizo links... Kuibuka kidedea Mahakamani hakumhalalishii kuwa kidedea ndani ya CDM... so far majority ya wanachadema hawamtaki Zitto ... Hivi mahakama ikimrejesha ndani ya CDM atafanyaje? wote hawataki kushirikiana nae....wote wanamuona ni msaliti wa siku nyingi...sasa wameshindwa kumvumilia! ... Zitto amejimaliza kisiasa ...angekuwa na busara asingeenda mahakamani mpaka pale ambapo maamuzi ya KK yangetolewa...
Mkuu pls futa hiyo like uliyomgongea...