Umelazimishwa kunywa? Acha kwa afya yako! Possibly pombe inaongeza msukumu wa damu (ukiwa na bibie na hamu ikianza ndo inazidisha hiyo hali) so inasababisha hilo tatizo! inawezekana umezaliwa mishipa ya damu ya puani ikiwa dhaifu(hii ni common kwa watu wengi)
pole kaka, mimi natupiaga grants lakini sina tatizo hilo, ila utakuwa na tatizo kwenye mzunguko wako wa damu. dist111 kuacha pombe kazi, labda uwe huna ela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.