Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,354
HIlo Zee Toka Gombe(Wassira) halina tija sijui linamshauri nini Rais, wananchi wa Bunda piga chini hilo zee fukuzieni kwenye hifadhi linakotoka ya GOMBE hahahahahahaha
HIlo Zee Toka Gombe(Wassira) halina tija sijui linamshauri nini Rais, wananchi wa Bunda piga chini hilo zee fukuzieni kwenye hifadhi linakotoka ya GOMBE hahahahahahaha
Mbona EL alisimama akasema nimemwandikia Rais barua ya kujiuzuru, yy mbna hakusubr Rais akubali ndo atangaze. Suala hapa ni kuwa tumepigwa changa la macho,na JK ndo mbaya wetu.
Acheni kukuza mambo.....nchi hii hivi sasa kuna mengi na ya msingi ya kujadili kuliko mambo kama haya....kwa akina siye tunaekutana na maneno kama haya wala hatuwezi kutafsiri vibaya kama ambavyo mnataka kulazimisha na ndio maana sio Mnyika wala Mbowe ambae aliitilia maanani kauli hiyo!! Binafsi hiyo tafsiri yake ni sawa na kusema "jembe lako"
Mku GHOST RYDER,
Nami nipo Dodoma. Wewe upo sehemu gani Mkuu?
Ili iweje? Muache atupe updates za maana, umetumwa nini ili utukatie network yetu?? Kama upo basi saidia na wewe kutuma za kwako lakini sio muda wa kuafutana huu, subiri siku ya Wapendanao.
Ili iweje? Muache atupe updates za maana, umetumwa nini ili utukatie network yetu??
Kama upo basi saidia na wewe kutuma za kwako lakini sio muda wa kuafutana huu, subiri siku ya Wapendanao.
MBOWE: Serikali za Majimbo ndio suluhisho, Hoja nzito inatolewa hapa
Uliposikia kuwa huyu Serukamba ni Nanihino...wa Ma-mvi ulielewa nini? Hujui huko kwenye bandari ndo kuna akina Karamagi marafiki wa Ma-mvi na RA
Naomba ieleweke kwamba Mawaziri kadhaa kuandika barua za kujiuzuru uwaziri hazijawa confirmed na aliyewateua. Mpaka pale Rais atakapopokea na kukubali kujiuzuru kwao, vinginevyo wangali kazini. Full Stop. Tusiwe na hali ya kuendekeza zaidi vionjo bali taratibu za ajira na sheria za uajiri zifuate mkondo wake.