Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,581
- 6,680
Bendera hufuata upepo mkuu
Kweli wabunge wa CCM kiboko. Dakika chache zilizopita walimshangilia M/Kiti wa Kamati ya Miundo Mbinu kwa kupinga mapendekezo ya Mnyika. Baada ya debate kumsupport Mnyika nao wamegeuka wote.