romaki
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 477
- 218
kwa heshima na taadhima, nategemea viongozi wafuatao wamuombe radhi Lowassa in public,ama wajiondoe uanachama wao CDM.
Dr Slaa, Mnyika, Msigwa, Tundu Lissu, Mohamed Mtoi, Mdee, n.k
Yani nyie mkibaki CDM mtaingia kwenye hall of fame ya wanafki wa nchii hii waliobobea kuliko wote. Mbowe i can understand, kwa kuwa mara zote amekuwa vuguvugu kuhusu ufisadi,na yeye mwenyewe matendo yake yamekaa kifisadifisadi, kama vile kufanya biashara na CDM n.k, lakini Dr.Slaa sitakuelewa kabisa.
Kitendo cha Lowassa kusema am sick of richmond na kuwaambia kama hamna ushahidi m-shut up, ameshaonesha kuanzia sasa ukitoa Mtei na Mbowe, CDM imeshakuwa mali yake rasmi, kwani essentially anaowaambia wa-shutup ni wana CDM kwa wingi wao, kwani Ufisadi ulizaliwa na Dr.Slaa mwembeyanga, na mpaza sauti mkuu wa dhana nzima ya ufisadi ni Dr.Slaa.
Sasa leo hii kuambiwa u-shutup ni kuvunjiwa heshima yako. bora ujistaafie tu mzee wangu, maana CDM imeshanunuliwa na wenye pesa sasa.nyie mliokuwa na uchungu na nchi na ugwadu na mafisadi,kama haukuwa wa kinafki mkae pembeni.
Nguruvi3, Bavaria , joka kuu, Mkandara
We ccm ama ukawa?
Last edited by a moderator: