Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

RICHMOND kwa sasa rasmi ni kashfa ya KIKWETE kwani Lowasa katamka wazi alitoa ushauri mkataba utenguliwe lakini mamlaka ya juu ikasema mkataba usivunjwe (Kwa hiyo mamlaka ya juu ni KIKWETE)

Huyo anakimbizana na kivuli chake mwenyewe!atasema mengi sana!
 
Honolulu, mimi ni CCM, ila chama changu kingekuwa kimempitisha Lowassa ningemtosa nikampa wa UKAWA. Ila baada ya kuweka mtu mwenye maadili, mtu ambaye hajamuhonga mtu yeyote, mtu ambaye hata hakuhonga hata chombo kimoja cha habari, mtu ambaye hakuhonga hata mhariri mmoja. Mtu ambaye hana hata makundi. Mtu ambaye najua kabisa akiingia ikulu hana makundi. mtu ambaye najua kabisa ni mchapa kazi. Mtu ambaye ktk utumishi Wake serikalini wa miaka 20 tumeona alivyofanya kazi Kwa kuwajibika na tena kasimamia barabara mpaka leo tunafurahia. Basi uamuzi wangu kuwa urais ni CCM. Ila mbunge wangu simpendi kabisa, nitapiga UKAWA. Uelewe hivyo, ila ninyi mliojaaa ujingaa na upumbafu wa kushabikia vyama badala ya hoja ndiyo mtataga. Kama una akili umenielewa, like hii post, ila kama wewe unafikiria kutumia mattako, basi usicomment.

Utajijua mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Alitoka nje akakaa saa moja
Akapiga simu juu, juu wakajibu mkataba usivunjwe
 
Lowassa: Nilipeleka documents kuwa kampuni ya Richmond haikuwa halali. Hizo documents nilizipeleka kwa mwanasheria mkuu Johnson Mwanyika. Lakini baada ya siku tano nilipoona mwanasheria mkuu hatekelezi niliamua kuitisha kikao kilichoongozwa na katibu mkuu kiongozi pamoja na makatibu wakuu wahusika akiwemo mwanasheria mkuu. Tuliongea mengi ila mwanasheria mkuu akaomba pumziko la masaa mawili. Alitoka nje kuongea na simu na aliporudi ndani akasema kuwa mamlaka ya juu imeagiza kuwa Richmond ni halali na kila kitu kiendelee kama ilivyokuwa. Mimi Lowassa ningeongea tena nini?
 
Back
Top Bottom