Kutojengwa kwa Reli ya Kati ni Mkakati wa Malori ya Wazee?

August

JF-Expert Member
Jun 18, 2007
8,396
4,056
hivi karibuni tulisikia Riziki ana malory kadhaa, na zaidi ya hapo tunaona na waziri wa utalii naye yumo kwenye biashara hiyo, sasa tukiwa na watu namna hiyo kweli ipo siku serikali wakapitisha sera ya kweli ya kunyanyua au kukarabati reli ya kati na nyinginezo? au ndio itakuwa ni biashara kama kawaida mpaka ndani ya baraza la mawaziri na wengineo, na kumtupilia mbali mluguru, mgogo, nyamwezi , sukumas, jita, kerewe, haya, nyambo, bazinza nk na matatizo ya reli. na zaidi ya hapo hivi karibuni wakati wa davos ambao raisi alihudhuria na kushriki mdahalo , alimsikia pm aka waziri mkuu wa kenya akisema ili kufufua uchumi ni lazima wajenge/tujenge reli na kupunguza kuziumiza hizi bara bara na mizigo mikubwa matokeo yake barabara kuharibika muda si mrefu baada ya kutengenezwa. ndio maana uchumi wa tanzania upo mifukoni mwa watu, kwani hela inayoingia au kutumiwa inaenda kwao, wakati serikli matumizi trillioni 3, mapato ni 1 trillion. na wachumi wetu? wanaona kwa kuwa hizi trillioni 3 zimeingia miongoni mwao na kujenga mahekalu nk basi uchumiunakuwa kwa kasi saana, wakati serkali haiwezi kujitosheleza hata kwa karatasi za kuandikia nyaraka, kulipa mishahara kwa wakati., kutoa nyongeza za mishahara n.k n.k
 
Naam! Wengi tuliowapa dhamana wamejikita kwenye biashara ya usafirishaji wa malori
 
.. Pana ukweli hapa. Mifumo mibovu kama hii tuliyo nayo inawanufaisha sana baadhi ya watu. Ndio maana inaaminikia kuwa wakati wa vita, watu wanapata ukwasi wa kutisha!
 
Waziri alisema malori yake yanampatia $20,000 kila mwezi - fikiria ni wangapi serikarini na wafanya biashara wakubwa wana miradi aina hiyo. Reli ya kati sahau maana hata Kagame amewasihi mpaka akachoka. Haiwezi kujengwa kwa sababu itaharibu vitumbua vya walioshikilia utamu.

hivi karibuni tulisikia Riziki ana malory kadhaa, na zaidi ya hapo tunaona na waziri wa utalii naye yumo kwenye biashara hiyo, sasa tukiwa na watu namna hiyo kweli ipo siku serikali wakapitisha sera ya kweli ya kunyanyua au kukarabati reli ya kati na nyinginezo? au ndio itakuwa ni biashara kama kawaida mpaka ndani ya baraza la mawaziri na wengineo, na kumtupilia mbali mluguru, mgogo, nyamwezi , sukumas, jita, kerewe, haya, nyambo, bazinza nk na matatizo ya reli. na zaidi ya hapo hivi karibuni wakati wa davos ambao raisi alihudhuria na kushriki mdahalo , alimsikia pm aka waziri mkuu wa kenya akisema ili kufufua uchumi ni lazima wajenge/tujenge reli na kupunguza kuziumiza hizi bara bara na mizigo mikubwa matokeo yake barabara kuharibika muda si mrefu baada ya kutengenezwa. ndio maana uchumi wa tanzania upo mifukoni mwa watu, kwani hela inayoingia au kutumiwa inaenda kwao, wakati serikli matumizi trillioni 3, mapato ni 1 trillion. na wachumi wetu? wanaona kwa kuwa hizi trillioni 3 zimeingia miongoni mwao na kujenga mahekalu nk basi uchumiunakuwa kwa kasi saana, wakati serkali haiwezi kujitosheleza hata kwa karatasi za kuandikia nyaraka, kulipa mishahara kwa wakati., kutoa nyongeza za mishahara n.k n.k
 
hivi karibuni tulisikia Riziki ana malory kadhaa, na zaidi ya hapo tunaona na waziri wa utalii naye yumo kwenye biashara hiyo, sasa tukiwa na watu namna hiyo kweli ipo siku serikali wakapitisha sera ya kweli ya kunyanyua au kukarabati reli ya kati na nyinginezo? au ndio itakuwa ni biashara kama kawaida mpaka ndani ya baraza la mawaziri na wengineo, na kumtupilia mbali mluguru, mgogo, nyamwezi , sukumas, jita, kerewe, haya, nyambo, bazinza nk na matatizo ya reli. na zaidi ya hapo hivi karibuni wakati wa davos ambao raisi alihudhuria na kushriki mdahalo , alimsikia pm aka waziri mkuu wa kenya akisema ili kufufua uchumi ni lazima wajenge/tujenge reli na kupunguza kuziumiza hizi bara bara na mizigo mikubwa matokeo yake barabara kuharibika muda si mrefu baada ya kutengenezwa. ndio maana uchumi wa tanzania upo mifukoni mwa watu, kwani hela inayoingia au kutumiwa inaenda kwao, wakati serikli matumizi trillioni 3, mapato ni 1 trillion. na wachumi wetu? wanaona kwa kuwa hizi trillioni 3 zimeingia miongoni mwao na kujenga mahekalu nk basi uchumiunakuwa kwa kasi saana, wakati serkali haiwezi kujitosheleza hata kwa karatasi za kuandikia nyaraka, kulipa mishahara kwa wakati., kutoa nyongeza za mishahara n.k n.k
Inasikitisha, inakera na inauma. Tusibaki walalamikaji tu basi tuchukue hatua ya kuwanyofoa vibaka hawa.
 
CHADEMA waliwaambia wakipata ridhaa ya wananchi watajenga reli za kisasa wananchi waweze kuishi Mwanza na kufanya kazi Dar es Salaam. Haya sasa tusubiri hakuna rangi tutaacha kuona kutoka kwa magamba. Duniani kote reli ni usafiri wa uhakika kwa mizigo na abiria.

Marekani, Uchina, na India pamoja na maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia waliyofikia ikiwa ni pamoja na kuwa na maviwanda makubwa ya magari bado wanafanya tafiti na kuwekeza mno kwenye reli. Sisi makapuku hata kile kidogo tulicho nacho tunakimalizia kabisa.
 
Ukweli Riz1 ana milori zaidi ya 150,mumemsikia maige naye ana yake japo nadhani idadi aliyosema siyo ya kweli.Naona suluhisho la kisiasa halisaidii.Tukodi SNIPERS wadondoshe mmoja mmoja mafisadi wote hata wakuu wa majeshi wanao shirikiana nao,mwisho tumalizie na mkuu wa kaya.Tulipo fikishana ni kubaya.No retreat no surrender on their acts.
 
Kwa sekta ya Reli Tanzania ni ya mwisho kabisa

Serikali hii dhalimu haina huruma na jinsi wananchi wanavyosumbuka na ndio maana hawataki kabisa kukarabati reli zote hapa nchini. Kama reli hizi zingekarabatiwa bidhaa zingesafirishwa kwa bei nafuu kuliko sasa wanapotumia malori na hivyo mfumuko wa bei ungepungua na kuwapunguzia makali ya maisha wananchi!! Sasa kama viongozi kwa kupitia watoto wao na washirika wao wana mamia ya malori je unategemea kweli watakuwa na kipaumbele cha kukarabati reli? Maendeleo ya nchi hii yatapatikana pale tu tutakapompata Kagame wetu lakini sio tukiwa na hawa wezi!!
 
Wakuu ukosefu wa reli inayofanya kazi kwa ufanisi ni hujuma kubwa katika uchumi wa nchi yetu. Huu ni ufisadi ambao ni calculated na mtu wa kawaida huwezi kuuona. Reli haifanyi kazi ili malori yapate biashara ya kubeba shehena. Kwa upande wa pili nchi inatumia pesa nyingi sana katika kujenga barabara za lami lakini barabara hizo zinaharibiwa na malori yanayobeba shehena kupita uwezo wake. Ingekuwa reli inafanya vizuri mizigo ingekuwa inapita kwenye reli na barabara zetu zingedumu; lakini kwa hali ya sasa nchi itakuwa inajenga barabara na baada ya muda mfupi zinakufa kwa kuzidiwa na shehena za malori. Investment kwenye barabara inahujumiwa.
 
Hili ni tatizo kubwa Tanzania. Decision makers hata law makers wanafanya maamuzi makubwa wakiwa na personal/corporate interest bila kudeclare kabla kama inavyotakiwa. Kazi kwelikweli!!
 
Hili la kuwatoa mmoja mmoja naliunga mkono kwa 100%. Hakuna kuzunguuka hapa.

Ni wazi kutokana na ufisadi wao baba, mama kaka na ndugu zetu wengi wanapoteza maisha kwa wingi kwa matatizo mbalimbali ambayo chanzo chake ni huu ufisadi.

Si vibaya kuwauwa hawa maana wao wanauwa wengi indirectly- kukosa matibabu, usafiri mbovu(ajari), elimu duni nk

Tuwauwe hawa kuharakisha mageuzi ya kweli, inchi hii yetu sote.
 
Wakuu ukosefu wa reli inayofanya kazi kwa ufanisi ni hujuma kubwa katika uchumi wa nchi yetu. Huu ni ufisadi ambao ni calculated na mtu wa kawaida huwezi kuuona. Reli haifanyi kazi ili malori yapate biashara ya kubeba shehena. Kwa upande wa pili nchi inatumia pesa nyingi sana katika kujenga barabara za lami lakini barabara hizo zinaharibiwa na malori yanayobeba shehena kupita uwezo wake. Ingekuwa reli inafanya vizuri mizigo ingekuwa inapita kwenye reli na barabara zetu zingedumu; lakini kwa hali ya sasa nchi itakuwa inajenga barabara na baada ya muda mfupi zinakufa kwa kuzidiwa na shehena za malori. Investment kwenye barabara inahujumiwa.
hapa ni biashara tatu zinakwenda kwa tatizo moja, biashara ya kwanza ni ya ma lori ya uchukuzi ambao wanaua wewe huwezi maana mtajiwako mdogo, biashara nyingine ni ujenzi wa hizo barabara usio isha.biashara ya tatu ni ya kukuza mitaji yao ili usiwafikie milele na milele, wao wanavyo amini.
 
Yote kwa yote...miaka 50 ya UHURU hakuna lolote la faida kwa mlala hoi!! Hongereni MAGAMBA kutufikisha hapa...lol
 
Back
Top Bottom