Kutofikishwa kibo kunaweza kukufanya ubadili ubadili mwongoza njia?

Kumweleza ni sahihi ili muweze kutatua tatizo kama mnapendana na mko kwenye commitment; lakini kama ni wa kupia unashuka unapanda mwingine hadi utakapopata wa kuwa anakufikisha.
Complex issue na wakaka wa siku hizi wanasingizia kazi nyingi sijui kuku wa kisasa sijui bia! Yaani unaweza hata in a year usifike akija akgusa kamaliza! Demu akikuambia hakupendi ila akikupenda kwa dhati atatafuta reason ya kuhakikisha angalau anamatch na hiyo speed ya roket, coz ukimuambia most men wanajisikia unyonge na anaweza from bad to worse as hapo anadeal na self esteem. Kuna mkaka mmoja hope yupo humu lol, coz nilimpenda sikumuambia ila nilikuwa najitahidi kubana for more rom ili akianza niwe mm niwe nakaribia mwisho wa siku sometimes if u real feel the guy unaweza fika kibo bila hata wakati yy keshafika na kapumzika na usingizi kalala, ila kama mkaka huna feelings na huko ndo kuachana njiani uwezakano wa kumtafutia raeson na kusepa ni mkubwa mno! no matter mkaka alivyo anaweza kumalizia mwenzio ni strategy n nia ya kufanya hivyo.
 
Angalizo japo ni nje ya kilichoulizwa . . . . Unapofikishwa sema ukweli kwamba umetosheka . . na kama hujatosheka sio kujifanyisha vituko mara kumzuia mwenzio asipumzike . .. . mara. .... si unajua ...?
 
Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.

Mkuu huwa hawasemi wala kulalamika, wakijitahidi sana ndio wanakuja humu kuweka wazi,
unaweza kujiona ni mwepesi wa kupanda mlima na jasho linakutoka kumbe umepanda pekeyako na uliyenaye ni mzuka tu, yeye alisi umemuacha chini
 
Mkuu huwa hawasemi wala kulalamika, wakijitahidi sana ndio wanakuja humu kuweka wazi,
unaweza kujiona ni mwepesi wa kupanda mlima na jasho linakutoka kumbe umepanda pekeyako na uliyenaye ni mzuka tu, yeye alisi umemuacha chini
Pamoja na hayo, kufika na kutofika / kufikishwa na kutofikishwa kunategemeana na maandalizi. Yapo madem mengine hata ukungute vipi unaona lenyewe bado limo tu hadi unahisi hauko na binadamu wa kawaida
 
Personally tunaweza kucheza mara 3 (five games) nikafika mara mmoja na huwa naridhika sana na hii hali as hili tatizo ni kubwa sana mpaka najiuliza wakaka vipi?
kwa nini kila siku ufungwe????3-1?? mechi nzuri ni DROO.
 
habari zenu wana jamiifulani,

katika mapenzi na mahusiano nimekuwa nikisikia manung'uniko ya chini chini wapenzi wengine wanapokua wanaenda kutalii mlima kilimanjaro hawawafikishi wenzao kule kwenye peak yaani kibo au mawenzi.sababu za hii hali zimekua ni nyingi wengine wanachoka mapema shauri ya kupanda kwa pupa,wengine wenzi wao wanatembea polepole sana wanashindwa kuwavumilia,wengine style wanazozitaka kupanda na kufika huko wenzao hawazipendi au hawazijui.

Je hii ni kweli?na kama kweli mwongozaji kila siku anakuachia njiani unaweza tafuta mwingine hata wa kuibia siku mojamoja?je unaweza kumweleza mwongozaji wako unapohisi ni goigoi?na kama ulishawahi aliichukuliaje????

nb:sumu ya panya ni jina tu jaribu uone kama ni ya panya!
1.utabadili waongoza njia wangapi????
2.msome weekness zake mwongoza njiaa wako,mtasfika wote salama na pamoja,bila uchovu wowote.
3.unatakiwa uwe na timing nzuri,akiweka mguu na wewe unaweka,akitoa ......hivyo hivyo mtafika salama
 
huku tulipo kidogo haya mambo kuyaongelea openly ni kawaida-kuna akina dada usema openly kwamba wao hupata orgasm only through self pleasuring,hata uki google u will come across this-whereas dada zetu ni opposite coming to them ni mteremko-i fail to understand this
 
charger nimekukubali! kibo hufiki bila kupita school hut,hansmeer,gilmans au stella point.kama wewe ndie porter,mweleze client wako kuwa vituo hivyo vina hitaji mvipite kwa mandalizi mazuri ili mfike KIBO. pia njia ni mwendo wa Ziggy zaggy.

Mkolosai inaelekea unazingatia vizuri vituo vyote na unavijua vizuri,ila haka kamwendo ka ziggy zaggy naona kama nimekapenda zaidi sasa sijui wateja kama huwa wanakafurahia labda watuambie
 
Hina haja yakumtafuta mwongoza njia mwingine,inabidi uwe muwazi kwa mwenzako kama bado unahitaji endelea na safari ili akuongoze vizuri.Inawezekana hata njia anayotumia ina korna nyingi sana thus ivigumu kufika mapema kibo

tatizo ni pale unapoambiwa eti sikwambii nataka uwe mtundu hadi uvumbue mwenyewe!
 
katika mapenzi mawasiliano ni kitu cha msingi sana, kama haufikishwi unatakiwa uwe muwazi na useme ila utumie maneno mzuri ambayo hayata mkwaza mwezio, ikiwezekana mwambie mwezio unapenda ufanyiweje ili ufike
 
Zingine zina sugu hata ufanye nini unakoma mwenyewe

mmh wewe Gaga hakuna kitu kama hicho, hakuna sugu wala iliyokomaa, kila kitu na ufundi wake, inahitajika ufundi binafsi na uelewa na hiyo sanaa pamoja na mawasiliano mambo yote yanakuwa powa
 
Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.

Kama hujalalamikiwa at least utakuwa umesifiwa na baadhi yao, kama hakuna aliyewahi kukusifia basi jua na wewe ni sifuri kaka, na sifa siyo ile mtu anakuambia we mkali then dkk 5 bdae anakuomba umpe voucher.
 
kweli mkuu, kufika kileleni ni mhm sana kwa wapendanao. Hebu jitahidin kuwafariji wapenzi wenu!
 
Back
Top Bottom