St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.
Complex issue na wakaka wa siku hizi wanasingizia kazi nyingi sijui kuku wa kisasa sijui bia! Yaani unaweza hata in a year usifike akija akgusa kamaliza! Demu akikuambia hakupendi ila akikupenda kwa dhati atatafuta reason ya kuhakikisha angalau anamatch na hiyo speed ya roket, coz ukimuambia most men wanajisikia unyonge na anaweza from bad to worse as hapo anadeal na self esteem. Kuna mkaka mmoja hope yupo humu lol, coz nilimpenda sikumuambia ila nilikuwa najitahidi kubana for more rom ili akianza niwe mm niwe nakaribia mwisho wa siku sometimes if u real feel the guy unaweza fika kibo bila hata wakati yy keshafika na kapumzika na usingizi kalala, ila kama mkaka huna feelings na huko ndo kuachana njiani uwezakano wa kumtafutia raeson na kusepa ni mkubwa mno! no matter mkaka alivyo anaweza kumalizia mwenzio ni strategy n nia ya kufanya hivyo.
Nmh, niseme nisiseme? Kwa vile sikulalamika sio maana yake nilifika Kibo; ilibidi nifake ili ufeel good! Next nitakwambia basi! LOL!Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.
Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.
Pamoja na hayo, kufika na kutofika / kufikishwa na kutofikishwa kunategemeana na maandalizi. Yapo madem mengine hata ukungute vipi unaona lenyewe bado limo tu hadi unahisi hauko na binadamu wa kawaidaMkuu huwa hawasemi wala kulalamika, wakijitahidi sana ndio wanakuja humu kuweka wazi,
unaweza kujiona ni mwepesi wa kupanda mlima na jasho linakutoka kumbe umepanda pekeyako na uliyenaye ni mzuka tu, yeye alisi umemuacha chini
kwa nini kila siku ufungwe????3-1?? mechi nzuri ni DROO.Personally tunaweza kucheza mara 3 (five games) nikafika mara mmoja na huwa naridhika sana na hii hali as hili tatizo ni kubwa sana mpaka najiuliza wakaka vipi?
si lazima aweke mambo hadharani................soma alama za nyakati.wekeni mambo hadharani tusije laumiana jamani.
1.utabadili waongoza njia wangapi????habari zenu wana jamiifulani,
katika mapenzi na mahusiano nimekuwa nikisikia manung'uniko ya chini chini wapenzi wengine wanapokua wanaenda kutalii mlima kilimanjaro hawawafikishi wenzao kule kwenye peak yaani kibo au mawenzi.sababu za hii hali zimekua ni nyingi wengine wanachoka mapema shauri ya kupanda kwa pupa,wengine wenzi wao wanatembea polepole sana wanashindwa kuwavumilia,wengine style wanazozitaka kupanda na kufika huko wenzao hawazipendi au hawazijui.
Je hii ni kweli?na kama kweli mwongozaji kila siku anakuachia njiani unaweza tafuta mwingine hata wa kuibia siku mojamoja?je unaweza kumweleza mwongozaji wako unapohisi ni goigoi?na kama ulishawahi aliichukuliaje????
nb:sumu ya panya ni jina tu jaribu uone kama ni ya panya!
charger nimekukubali! kibo hufiki bila kupita school hut,hansmeer,gilmans au stella point.kama wewe ndie porter,mweleze client wako kuwa vituo hivyo vina hitaji mvipite kwa mandalizi mazuri ili mfike KIBO. pia njia ni mwendo wa Ziggy zaggy.
Hina haja yakumtafuta mwongoza njia mwingine,inabidi uwe muwazi kwa mwenzako kama bado unahitaji endelea na safari ili akuongoze vizuri.Inawezekana hata njia anayotumia ina korna nyingi sana thus ivigumu kufika mapema kibo
Zingine zina sugu hata ufanye nini unakoma mwenyewe
Nimekubali AFRO we mkali comment zako bwana kila siku zinakua very tricky ha ha haaaa.
Zingine zina sugu hata ufanye nini unakoma mwenyewe
Sina cha kuchangia kwa kuwa wote niliokutana nao hakuna aliyewahi kunilalamikia.