Kutofikishwa kibo kunaweza kukufanya ubadili ubadili mwongoza njia?

charger

JF-Expert Member
Nov 21, 2010
2,320
1,369
Habari zenu wana jamiifulani,

Katika mapenzi na mahusiano nimekuwa nikisikia manung'uniko ya chini chini wapenzi wengine wanapokua wanaenda kutalii Mlima Kilimanjaro hawawafikishi wenzao kule kwenye peak yaani Kibo au Mawenzi.

Sababu za hii hali zimekua ni nyingi wengine wanachoka mapema shauri ya kupanda kwa pupa,wengine wenzi wao wanatembea polepole sana wanashindwa kuwavumilia,wengine style wanazozitaka kupanda na kufika huko wenzao hawazipendi au hawazijui.

Je hii ni kweli?
Na kama kweli mwongozaji kila siku anakuachia njiani unaweza tafuta mwingine hata wa kuibia siku mojamoja?Je unaweza kumweleza mwongozaji wako unapohisi ni goigoi?Na kama ulishawahi aliichukuliaje?

NB:SUMU YA PANYA NI JINA TU JARIBU UONE KAMA NI YA PANYA!
 
Personally tunaweza kucheza mara 3 (five games) nikafika mara mmoja na huwa naridhika sana na hii hali as hili tatizo ni kubwa sana mpaka najiuliza wakaka vipi?
 
Personally tunaweza kucheza mara 3 (five games) nikafika mara mmoja na huwa naridhika sana na hii hali as hili tatizo ni kubwa sana mpaka najiuliza wakaka vipi?

Mmmmmh hii nayo ni experience mpya lol!
 
Hina haja yakumtafuta mwongoza njia mwingine,inabidi uwe muwazi kwa mwenzako kama bado unahitaji endelea na safari ili akuongoze vizuri.Inawezekana hata njia anayotumia ina korna nyingi sana thus ivigumu kufika mapema kibo
 
Mtaalamu umerudi nilikumiss sana karibu tena.

Kupandishwa mlima unahitaji Porter mmoja tu huyo akichemshia njiani sio Porter poa ha ha ha napita tu wajameni
 
Habari zenu wana jamiifulani,



Je unaweza kumweleza mwongozaji wako unapohisi ni goigoi?Na kama ulishawahi aliichukuliaje????

NB:SUMU YA PANYA NI JINA TU JARIBU UONE KAMA NI YA PANYA!


dah! mie nliwahi kukutana na tatizo kama hilo, but nlivyomweleza muhusika, akawa mnyooonge, kiasi kwamba hata kwny game akapunguza manjonjo. Najuuta kumuuliza
 
Panda MERU kwanza
Ukisha zoea hali ya hewa huko juu
Na jinsi ya ku handle G force then
uende kibo au mawenzi panda zote ukiweza.. unakimbilia Kili kichuguu huwezi kupanda khaasaaa.
 
Habari zenu wana jamiifulani,

Katika mapenzi na mahusiano nimekuwa nikisikia manung'uniko ya chini chini wapenzi wengine wanapokua wanaenda kutalii Mlima Kilimanjaro hawawafikishi wenzao kule kwenye peak yaani Kibo au Mawenzi.Sababu za hii hali zimekua ni nyingi wengine wanachoka mapema shauri ya kupanda kwa pupa,wengine wenzi wao wanatembea polepole sana wanashindwa kuwavumilia,wengine style wanazozitaka kupanda na kufika huko wenzao hawazipendi au hawazijui.

Je hii ni kweli?Na kama kweli mwongozaji kila siku anakuachia njiani unaweza tafuta mwingine hata wa kuibia siku mojamoja?Je unaweza kumweleza mwongozaji wako unapohisi ni goigoi?Na kama ulishawahi aliichukuliaje????

NB:SUMU YA PANYA NI JINA TU JARIBU UONE KAMA NI YA PANYA!

Nimeipenda signature yako.
 
dah! mie nliwahi kukutana na tatizo kama hilo, but nlivyomweleza muhusika, akawa mnyooonge, kiasi kwamba hata kwny game akapunguza manjonjo. Najuuta kumuuliza

That is interesting? Ikawaje? Bado unaye?
Ina maana hakukubali ukweli wa mambo?
 
Hina haja yakumtafuta mwongoza njia mwingine,inabidi uwe muwazi kwa mwenzako kama bado unahitaji endelea na safari ili akuongoze vizuri.Inawezekana hata njia anayotumia ina korna nyingi sana thus ivigumu kufika mapema kibo

Tajy huo uwazi umemcost mwenzetu mmoja hapa lakini
 
dah! mie nliwahi kukutana na tatizo kama hilo, but nlivyomweleza muhusika, akawa mnyooonge, kiasi kwamba hata kwny game akapunguza manjonjo. Najuuta kumuuliza

Duu sasa sijui kipi kizuri,kwahiyo unashauri kuvumilia tu?siunaweza pata utapiamlo kwa kutoshiba kila siku?
 
Panda MERU kwanza
Ukisha zoea hali ya hewa huko juu
Na jinsi ya ku handle G force then
uende kibo au mawenzi panda zote ukiweza.. unakimbilia Kili kichuguu huwezi kupanda khaasaaa.

Nimekubali AFRO we mkali comment zako bwana kila siku zinakua very tricky ha ha haaaa.
 
Mtaalamu umerudi nilikumiss sana karibu tena.

Kupandishwa mlima unahitaji Porter mmoja tu huyo akichemshia njiani sio Porter poa ha ha ha napita tu wajameni

Dena nimerudi siunajua mahangaiko ya dunia some times unashindwa kutembelea jf.Sasa Dena porter kila siku anachemsha njiani afu we unasemaje?
 
charger nimekukubali! kibo hufiki bila kupita school hut,hansmeer,gilmans au stella point.kama wewe ndie porter,mweleze client wako kuwa vituo hivyo vina hitaji mvipite kwa mandalizi mazuri ili mfike KIBO. pia njia ni mwendo wa Ziggy zaggy.
 
Complex issue na wakaka wa siku hizi wanasingizia kazi nyingi sijui kuku wa kisasa sijui bia! Yaani unaweza hata in a year usifike akija akgusa kamaliza! Demu akikuambia hakupendi ila akikupenda kwa dhati atatafuta reason ya kuhakikisha angalau anamatch na hiyo speed ya roket, coz ukimuambia most men wanajisikia unyonge na anaweza from bad to worse as hapo anadeal na self esteem. Kuna mkaka mmoja hope yupo humu lol, coz nilimpenda sikumuambia ila nilikuwa najitahidi kubana for more rom ili akianza niwe mm niwe nakaribia mwisho wa siku sometimes if u real feel the guy unaweza fika kibo bila hata wakati yy keshafika na kapumzika na usingizi kalala, ila kama mkaka huna feelings na huko ndo kuachana njiani uwezakano wa kumtafutia raeson na kusepa ni mkubwa mno! no matter mkaka alivyo anaweza kumalizia mwenzio ni strategy n nia ya kufanya hivyo.
 
mi nadhani tatizo hapa,ni maandalizi ya kupanda mlima ndio yanakosekana,
maandalizi mazuri ni lazima pota awe mjuzi wa kutumia mikono kupanda mlima sio miguu tu, maana kilele cha Kibo kama mikono haiko fast utapanda kwa shida sana kwa kutumia miguu pekeyake sababu kubwa ni kushindanda na G (gravity) ambayo inakuwa inakuvuta kwa chini, ili uishinde G isikuangushe chini mikono muhimu hapa ,hivyo mshauri afanye sana zoezi la mikono kabla ya kuanza safari,

la pili inaonekana pota yupo week kwenye mifupa, mwambie awe anakula munyu mkiwa njiani kwenda mlimani ili aongeze calcium, pia asisahau kunywa maziwa hata kama ni ya shida kupatikana

cha muhimu kuliko vyote ni wewe kumsapoti kwakila zoezi analolifanya inakupasa kuwa mwalimu wakumpa mazoezi hayo na anapokosea mazoezi ya mikono na kiasi cha chumvi anachotakiwa kula wewe ndio unayestahili kummpimia, faida ya kufanya pamoja ni kuwa pale mnapoanza kupanda mlima mnatoka jasho kwa pamoja, na safari yenu itakuwa ya furaha na wala haitakuwa ndefu

Vitu vya muhimu wakati mnapanda mlima
1) communication=muwe mnaongea na kuelewana kama unakiona kilelele kiko mbali unamwambie mwenzio na mpunguze speed msije kuchoka bure na mkashindwa kufika
2) keep close= muwe karibu ili mwenzio asikuache na akafika kileleni wakati wewe hujui njia
3) Team work= hapa lazima wote mtumike sawasawa, hakuna kutegea, kama ni kubeba mzigo unabeba kisha unampa na mwenzio
4) health and Safety= kwa usalama wenu muwe waangalifu sana kufatilia presha za mwenzio,kama unaona mapigo ya moyo yanabadilika kwa kukosa oksjeni basi mnasimama kidogo ili apoe kisha mnaianza tena safari, presa zinatakiwa kuwa sawa kwa wote wa kupanda mlima
 
Back
Top Bottom