Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
Wataalam wa fedha;
Naomba kuuliza kama inawezekana, ivi ni lazima mtu kutoa hela kwenye account yake above 5m CASH?? ni kitu gani ambacho utaenda kufanya nazo bank ishindwe kuzituma uko??tukizingatia wimbi la wizi wa kuporwa hela na watu kuuwawa na pia forgery za banks through accounts to accounts using forged signatures kwanini BOT wasiiombe serikali ipitishe sheria au wao watoe mwongozo kuwa no more cash withdrawals above 5m over the counter!!! will this be possible to accomodate our real cash economy?? naomba ideas!
Naomba kuuliza kama inawezekana, ivi ni lazima mtu kutoa hela kwenye account yake above 5m CASH?? ni kitu gani ambacho utaenda kufanya nazo bank ishindwe kuzituma uko??tukizingatia wimbi la wizi wa kuporwa hela na watu kuuwawa na pia forgery za banks through accounts to accounts using forged signatures kwanini BOT wasiiombe serikali ipitishe sheria au wao watoe mwongozo kuwa no more cash withdrawals above 5m over the counter!!! will this be possible to accomodate our real cash economy?? naomba ideas!