MASIORA
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 660
- 271
Hofu ya uchaguzi ndani ya chagadema ndio imeleta haya yote. Mbowe hataki kuachia kiti hata kwa njia a mtutu.bamewapanga vijana ili wawachafue wapinzani wake
cdm inapigania demokrasia ,,wakati hawana demokrasia ndani ya chama