Kutekwa MO: Viongozi wa Serikali waliohojiwa wakae kando kupisha uchunguzi, CCM lazima ijitofautishe na CHADEMA!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,127
144,090
Nashauri endapo itatokea/imetokea kuna kiongozi yeyote wa CCM au serikali amehojiwa na jeshi la polisi kuhusu jinai ya kumteka MO basi ni heri kiongozi huyo/hao wakakaa pembeni hadi upelelezi ukamilike.

Nimepata wazo hili baada ya kufuatilia matangazo ya BBC Dira ya Dunia ambapo walifanya mahojiano na Kamanda Sirro. Dunia inafuatilia swala hili hivyo waliohojiwa wawe wazalendo kwa kutoitia doa serikali yetu, wapishe uchunguzi!
 
Nashsuri endapo itatokea/imetokea kuna kiongozi yeyote wa CCM au serikali amehojiwa na jeshi la polisi kuhusu jinai ya kumteka MO basi ni heri kiongozi huyo/hao wakakaa pembeni hadi upelelezi ukamilike. Nimepata wszo hili baada ya kufuatilia matangazo ya BBC Dira ya Dunia ambapo walifanya mahojiano na Kamanda Sirro. Dunia inafuatilia swala hili hivyo waliohojiwa wawe wazalendo kwa kutoitia doa serikali yetu, wapishe uchunguzi!
Mkuu nani wakae kando , kaa ni kukaa kado basi waaze na kichaa wenyewe kukaa kando maana ndio SUSPECT NUMBER ONE
 
Wewe unawajua CCM au unawasikia??? Hilo wazo lako ni sahihi, ila haliwezekani. Kitikadi wanapaswa kukaa kando ili wapishe uchunguzi/upelelezi ufanyike, na waachie ngazi zao kiserekali pia, na wadhibitiwe ile wasije wakahusika na kuharibu/kuchafua/kuyumbisha upelelezi/chunguzi kwa njia moja ama nyingine.

Pindi uchunguzi utakapo kamilika, basi viongozi wa juu watoe kauli kuhusiana na majibu ya chunguzi hizo.
 
Mnapewa mawazo na shetani mnayafanyia kazi alafu usiwe na DOA. Maajabu sana.shetani mwenyewe ni DOA tosha
 
Nashsuri endapo itatokea/imetokea kuna kiongozi yeyote wa CCM au serikali amehojiwa na jeshi la polisi kuhusu jinai ya kumteka MO basi ni heri kiongozi huyo/hao wakakaa pembeni hadi upelelezi ukamilike. Nimepata wszo hili baada ya kufuatilia matangazo ya BBC Dira ya Dunia ambapo walifanya mahojiano na Kamanda Sirro. Dunia inafuatilia swala hili hivyo waliohojiwa wawe wazalendo kwa kutoitia doa serikali yetu, wapishe uchunguzi!
wewe ndiye yule John mwenyewe au weye ni somo ake tu??
 
Yaani akae pembeni kisa aliitwa kuulizwa kama ana la ziada waliloongea ma Mo? Chadema baada ya kumshindwa makonda mnahamishia majeshi kwa makamba. Hizi huyu nae aliwakosea nini au ni wivu sababu ni msomi zaidi yenu na hana papara kama nyie?
 
Yaani akae pembeni kisa aliitwa kuulizwa kama ana la ziada waliloongea ma Mo? Chadema baada ya kumshindwa makonda mnahamishia majeshi kwa makamba. Hizi huyu nae aliwakosea nini au ni wivu sababu ni msomi zaidi yenu na hana papara kama nyie?
Siku moja humu jukwaani nilikwambia uache akili za vyama,yani akili yako katika kufikiria mambo isiwaze sana mambo ya uCCM na uCHADEMA,hii itakusaidia na kukufanya mtu makini zaidi mwenye kujali nchi kuliko wanasiasa na vyama vyao. Hao wanapita tu,Tanzania ipo milele.

Ona sasa leo hii umevamia na umemkurupukia huyu MwanaCCM mwenzako na kumuita ni CHADEMA kisa tu ametoa mawazo yasiyokufurahisha.
 
Bashite alivyovamia studio alikaa kando kupisha uchunguzi?

Nape alitolewa bastola hadharani,cha ajabu yeye ndiye aliwekwa kando
 
Nashsuri endapo itatokea/imetokea kuna kiongozi yeyote wa CCM au serikali amehojiwa na jeshi la polisi kuhusu jinai ya kumteka MO basi ni heri kiongozi huyo/hao wakakaa pembeni hadi upelelezi ukamilike. Nimepata wszo hili baada ya kufuatilia matangazo ya BBC Dira ya Dunia ambapo walifanya mahojiano na Kamanda Sirro. Dunia inafuatilia swala hili hivyo waliohojiwa wawe wazalendo kwa kutoitia doa serikali yetu, wapishe uchunguzi!
.....
;;;;;;;unyelile nzubha yabhetaga
 
Hili sakata la utekaji wa MO lina sura nyingi na ninatabiri litakuja kuleta harufu mbaya:
-Wasiojulikana kabisa wanapoteka, mtu hapatikani (Ben Saanane na Azory nk)
-Wasiojulikana lakini "wanajulikana", wanapoteka, mtu anarudi (Roma, MO)
-Tuhuma za kumhusisha mkulu moja kwa moja/Uso kwa uso na utekaji, ni more than serious
-Ikiwa Mkulu amehusika, kimya cha waliotekwa ndicho kifo chao. Hakuna Mkulu anayeweza kuishi kwa uhuru na mateka aliyeachiwa - MO ahesabu siku zake
-Sababu za kutekwa kwa MO zinafanana na matamshi ya mkulu: Mashamba ya mkonge, mikopo mikubwa ya mabenki kutumia hati za mashamba, Stiglers Gorge, hitaji la hela baada ombi kukataliwa, na "kiburi cha MO"
-Washauri waliopendekeza MO atekwe walidhani Mkulu atakataa, lakini alikubali mara moja mpaka nao wakashangaa.
-Waliogombea urais mwaka 2015, wataisha wote kabla ya 2020, hasa wale walio karibu na matajiri, makanisa, NGO's na Diplomatic community. Waliobaki watamezwa ndani ya system ili wasifukute (Makongoro, Pinda).
-Polisi wamelemewa sana na kutumiwa bila kupewa picha halisi ya yaliyo nyuma ya pazia (Nasikia Sirro alilambwa kibao na mkewe kwa kuitwa mjinga anayetumiwa).
-Siku zimebaki chache wastaafu waanze mmoja mmoja kujitenga na serikali hii kwa sababu ya rekodi ya damu inayomwagika
-Wanafiki walio serikali wameongeza speed kuwatisha watu mbalimbali bila kutumwa kuwa wakae kimya maana "utawala huu sio ule waliouzoea". Wanasisitiza kabisa kuwa "Jamaa" anaua si mchezo. Hawa wanamchafulia kwa kudai wanamtetea.
-Tuhuma ya kuipendelea Geita/Chato zinazidi kuwa na ushahidi na kukera wengi hata ndani ya serikali yake
-Hakuna Waziri au mteule yeyote hivi anayeamua jamb lolote bila kuwasiliana na mamlaka, na wakati huo huo, Mkulu anajikuta anawashwawashwa na kuagiza kila kitu hata mambo madogo.

-Orodha ya madudu yenye damu imekuwa kubwa, na idadi ya watekelezaji kuongezeka, na kwa hiyo kuwa vigumu kudhibiti wavujishaji. Lakini pia Mkulu anaanza kukosa amani kufanya kazi na watu aliowatuma kufanya kazi chafu. Watakaa kimya hadi lini? Suluhisho analopata linaongeza kiwango cha damu.
 
Back
Top Bottom