Kutana na Selebu Mboni

afrikaone.jpg


Hapo akiwa kwenye kitchen party ya mish bomba. Huyu hakosi kitchen party ya watu matawi ya juu.
 
Mboni na Joan yaelekea ni maswahiba sana muda mwingi wako wote au kwa kuwa wote muzee Liumba aliwapitia?

22.jpg


DSC00536_%5B800x600%5D.JPG

Nimevutiwa na kivazi cha buluu mpauko iliyokolea kidogo cha JOAN
 
Kweli bongo tambarare.........dada zetu wako kijasiriamali zaidi!!!

Ndo maana Mange anakomaa na mashefa wa kithungu tuuuu!!
 
...Kwa hiyo yeye ni 'JAMVI LA WAGENI' maarufu na yeye mwenyewe anapenda kutambulika hivyo??
 
Jamani hebu naombeni namba ya simu ya huyo binti na mimi nijifaidie. Mh! ila sina umaarufu wowote sijui kama atanikubali ila pesa nnazo.[/QUOTE]

hii gia kiboko.....
Mbongo ukiwa sio maarufu lakini pesa unayo utakula bata mpaka uchoke.Wewe nikumawambia mkutane kule walikuwa wanafanyia semina tekelezi,Ngurdoto Lodge,Utakula bata unavyotaka mradi uwe tiyari kuongeza stock dukani.
 
Huyu Mboni nshamuweka kwenye crosshairs zangu...nikitua bongo lazima nimmege huyu. Stay tuned.....
 
Wee! Bwana wee so shida yako ni kummega tu celebuu! Ahaahaa! Inawezekana mashineye iko oda mbna watu wana2pia sana masnake yao hapo!...
 
Dah! Masanilo na wadau,

Bado hamjaacha tu?, nilipotea kidogo kurudi nakuta bado mnaendeleza.

Nadhani dada yetu Mbonie analenga au ana "kismati" na mastaa.. ofcozi sio kuwa mastaa wakija wanamtafuta, kunakua na connection.

Hila hayo ni yake sisi haituhusu. humu kuna mibaba inatembea na ma hausi geli wao na hamjisemi.
Kama ni ngono zembe au salama anajua Mboni mwenyewe.

Hiyo ya mseminary na Mboni ni mpya ndo naisikia
Masaki na masanilo nipeni hiyo story.

FP
 
Dah washkaji nimewakubali kwa kufukunyua mambo. Lakini kwa kweli ni demu bomba hata Fally alipagawa na ndio maana aliogopa kumshika kama alivyokuwa akiwashikashika wanawake wengine waliojipendekeza kucheza naye.
 
na alipokuja fali ipupa hakucheza mbali sana, kwenye ile shoo yake jamaa alikuwa anawashika hawa mademu kama malaya wa kununua street. uyu mboni noma lol, acha tu aitwe cerebrity.
Lakini ndo hivyo , ataishia kuvaaa Tshirt, E'too mweneyewe wala hata hamkumbuki. inauma sana.


Hapo kwenye weusi, Inakuuma wewe ama yeye?:yuck:
 
Dah washkaji nimewakubali kwa kufukunyua mambo. Lakini kwa kweli ni demu bomba hata Fally alipagawa na ndio maana aliogopa kumshika kama alivyokuwa akiwashikashika wanawake wengine waliojipendekeza kucheza naye.


Zaidi ya ile cleavage she is just average looking guyz! Labda u special alionao ni namna anavyoweza ku-ji-connect! Kwa hilo she is realy a star!
 
Back
Top Bottom