nzalla
Member
- Mar 15, 2011
- 31
- 0
still tunahitaji kuwa na jkt kwa sababu naamini wananchi wake watakuwa wakakamavu na watakuwa wamejengewa ujasiri wa kupigania nchi yao.leo hii mgambo tu wakitisha kidogo watu wanakimbiaana na kujificha. je ukitokea uvamizi wa kigeni wataweza kupigania nchi yao kweli! tuacheni kuponda ujio wa jkt kwa sababu zilizo tolewa na watu wachache wazembe na walioponzwa na tamaa zao. huwezi kuwa mkakamavu bila mateso. mwisho wa kuwasilisha.